Wanaume tujitafakari sana

Tatizo lenu vijana mnataka demu akija geto basi akuone we unacare sana na una pesa sana. Matokeo yake ndo kama hayo sasa.

Yani mwanamke kila anachotaka unampa papo hapo, yani una bajeti ya buku 3 halafu unamuuliza anataka ale nini, nyambafu we uliza msosi flani unakula, ndio, pika au nunua kulingana na bajeti yako sio kitu anachotaka yeye.

Kujimwambafy ndo kunakuua dogo na usijilaumu huo ndo uanaume sasa.
 
Maisha sio magumu kiasi hicho mkuu.
Inaonekana kwa kipato chake 80k ni nyingi kutumia kwa mwanamke. Sasa kwanini amuumize kiti kwa kumfurahisha shetani?
Afanye mambo rahisi tu, asitumie pesa yake aingie CHAPUTA akizipata nyingi atakula wadada tu.
Pamoja na kwamba hiyo 80k inaweza kuwa nyingi kweli kwake ila labda na suala la value for money linahusika.

Angefinyiwa Kwa ndichi vizuri na kurushwa rushwa labda angejikuta anasahau hata kiasi alichotumia. [emoji23][emoji23][emoji23] Ingekuwa worth it.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
80k ni hela ndogo sana.Mi jumamosi hii nilitumia kama ifuatavyo kwa pisi kali Mke wa mtu;
1. Usafiri ( kumjazia mafuta gari yake ili anifuate) = 50k
2. Vinywaji wote wawili Windhoek,savannah =80k
3. Chakula 40k
4. kulala 40k
5.Kumtoa 30k
Around 250k ....leo mfukoni nipo hoi ila napigana kufa kupona ili kurecover ......ila sijutii sababu huyu mwanamke alinisumbua sana ,halalfu mumewe anatamba sana na mkewe sababu wote ni PHD holders
 
250k kwa ajili ya papuchi duuh..
 
Are you serious 80k ??? unalalamikaa ivoo tafuta hela bhn
 
Na huo ndio uanaume. Ukitumia ukipata hasira pambana urudishe. Sasa kijana kutumia anataka na akishatumia anajuta anaona kama katupa hela


Kwa level ya uwezo wake anahitaji sana kuwa na nidham ya fedha vinginevyo akifanya matumizi kama hayo ataumia kila mara. Matumizi yakishazidi uwezo wako ni maumivu, unaingiza 5k, unatumia 50K kustarehe tena kwa kitu ambacho sio lazima sana hakika itakuumiza tu. Hayo maumivu pia yanakupa chachu ya kupambana zaidi kuongeza kipato na yanakualert kuacha matumizi yasiyo ya lazima. Tukumbuke starehe gharama.
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Jitahidi uirudishe hiyo 80K kwa njia nyingine. Mfano mimi nikitumia hela kwenye starehe kama hizo kesho yake napambana nairudisha yote au angalau nusu yake. Majuzi nilikuwa na pisi moja ikanigharimu sana but now nishairudisha yote kwenye akiba.
Uko sahihi mkuu ..au akishindwa ajipige adhabu kufidia hasara aliyoipata ..mfano km kwa siku anatumia 10000 bhac aanze kutumia 5000 kwa siku 16 tuu anakua amemaliza deni
 
Katuangusha sana wanachama [emoji23] ..
 
Jitahidi uirudishe hiyo 80K kwa njia nyingine. Mfano mimi nikitumia hela kwenye starehe kama hizo kesho yake napambana nairudisha yote au angalau nusu yake. Majuzi nilikuwa na pisi moja ikanigharimu sana but now nishairudisha yote kwenye akiba.
Umeirudishaje, au umempitia denge ukamkaba ?? ..
 
Hii 80 inayokunyima raha mkuu ni hii hii ya kitanzania ya noti 8 za teni-teni?

Umeshalala na mtoto wa watu siku 2 unamtumia asubuhi, mchana na usiku kweli unalalamika mkuu?

Wewe mapenzi hayakufai, jikite kwenye nyeto mkuu hautajuta.
hahhahahahahahhaah huyu jamaaa hayupo serious
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…