Mr PJ
Senior Member
- Jul 1, 2018
- 102
- 203
Hakuna kitu kibaya kama kutelekeza familia. Jana nimepata kukutana na dada mmoja amezaa na jamaa flani huyo jamaa ana kazi nzuri tu ila ukimcheki Dada mwenyewe kachoka kweli hata kazi anayofanya ni shida tupu.
Ukimuuliza anasema jamaa amemtelekeza yeye na mtoto, pamoja na kuwa na hela lakini hajali kabisa mtoto wake.
Hivi mtu kama unaweza kuwa na mahusiano naye kwanini ushindwe kulea mtoto wako au hata mama mtoto ukamtafutia kazi ya maana ili amtuze vizuri mwanao.
Utasikia tukijisifu vijiweni kwamba nina mtoto wangu yupo na mama yake sehemu flani ila hujui kama kala, kavaa ama anaishi vipi.
Tuache hii tabia mazee tunajiwekea laana ambazo hazina msingi mwisho wa siku unatafuta maisha hufanikiwi kumbe ulidharau vitu kama hivi.
My advice: Hakuna mimba ya bahati mbaya ukishaamua kulala na mtu na unajua hukutumia kinga no way out for the consequence.
Jiandae kulea, kuzaa zaa na kuwaachia wanawake walee tu sio uanaume wala wazazi/wazee wetu hawakua hivyo ndio maana walifanikiwa kuwa na familia bora.
Ukimuuliza anasema jamaa amemtelekeza yeye na mtoto, pamoja na kuwa na hela lakini hajali kabisa mtoto wake.
Hivi mtu kama unaweza kuwa na mahusiano naye kwanini ushindwe kulea mtoto wako au hata mama mtoto ukamtafutia kazi ya maana ili amtuze vizuri mwanao.
Utasikia tukijisifu vijiweni kwamba nina mtoto wangu yupo na mama yake sehemu flani ila hujui kama kala, kavaa ama anaishi vipi.
Tuache hii tabia mazee tunajiwekea laana ambazo hazina msingi mwisho wa siku unatafuta maisha hufanikiwi kumbe ulidharau vitu kama hivi.
My advice: Hakuna mimba ya bahati mbaya ukishaamua kulala na mtu na unajua hukutumia kinga no way out for the consequence.
Jiandae kulea, kuzaa zaa na kuwaachia wanawake walee tu sio uanaume wala wazazi/wazee wetu hawakua hivyo ndio maana walifanikiwa kuwa na familia bora.