Wanaume tubadilike, tenda utendewe!

Wanaume tubadilike, tenda utendewe!

Mario Balloteli alisema hauna haja ya kumpongeza akifunga goli maana ndio kazi yake.

So nimpongeze kisa anafua nguo zangu? Kwani jukumu lake ni nini?

Kutunza watoto sio jukumu?

Yaani hapo ni sawa na kudai haki sawa kwa wote huku ukisema mwanamke anateseka kubeba mimba kwa miezi 9......
Du! Kama ndiyo hivi wata wanajichukia mpaka nafsi zao. Samahani wewe ni dhehebu gani? Kama ni mkristo mwanzo 2:20 - 25 ipitie
 
Mambo mengi yamezungumzwa, ikiwa pamoja na lengo kuu la kuletwa mwanamke hapa duniani.
Hivyo mwamamume atawaacha wazazi wake na kuungana na mwanamke nao watakuwa mwili mmoja. Umeelewa nini hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom