Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Hahaha nije kuchinjwa na wenye maliMbona unakuwa hivo !!
Nidekee tu hata usjal
Hahaha nije kuchinjwa na wenye maliMbona unakuwa hivo !!
Nidekee tu hata usjal
.Hata mimi naona kweli.. Hayupo,,,
Kukimbizana ya nn...... Hiyo michezo ya jogooo. Naimba tuu
Bit hamna lkn..Kukimbizana ya nn...... Hiyo michezo ya jogooo. Naimba tuu
Hiyo inaitwa AKAPELA.. Umeipenda?Bit hamna lkn..
mwanamke mwenye Busara humshukuru mumewe kwa moja kubwa "kumchagua"Ikiwa siku hizi mkeo hakupi pole kwa kazi, wakati awali alikuwa akifanya hivyo kila unapotoka kazini.
Jiulize yafuatayo.
Je nikimaliza kula huwa namshukuru kwa kupika?
Je akifua nguo zangu huwa namshukuru?
Je nilishawahi kumpongeza kwa malezi ya watoto wetu?
Je nilishawahi kumletea zawadi na nikamwambia "hii ni mahususi kwa kuwa jana ulinipikia ugali mtamu?"
Wanawake wengi hupenda kujifunza kwa waume wao. Kabla haujenda kumshtaki mkeo, kwa mshenga, mzee wa kanisa, padri, shekhe, mchungaji askofu, n.k
Fanya haya niliyokuambia, maana MUNGU anakwenda kuiponya ndoa yako sasa.
I couldnt have given her a better song than thisKukimbizana ya nn...... Hiyo michezo ya jogooo. Naimba tuu
Mama yako nae ni mwanamke unajua..!mwanamke mwenye Busara humshukuru mumewe kwa moja kubwa "kumchagua"
hayo mengine ni viherehere vyenu,
wewe upo nyumbani, mi nimekununulia mavazi malazi, mafuta mazuri, nimekutia mimba "ukapata" watoto nikuhemelee upike halafu uninunie eti sijakushukuru kwa chakula!
Shenzi kabisa,
kwanza wanawake hamridhiki kwa chochote,
MUNGU kawawekea makalio mnaona hayawatoshi mnaweka ya bandia, kucha bandia, nywele za marehemu, rangi ya kipodozi, sura yenye wanja nashedo, Ngozi zenye michoro ya ina(sijui hina) hadi sauti za kuigiza!!
Sisi wanaume tutawaridhisha tuwaweze????
mi roho yenu inaendana na nyoka, maana alipowadanganya mlikubali!
(Si wote ila wengi wenu)
Samahani kwa wale wasiomkosoa MUNGU ktk maumbile yao au ya wenzao
Daaah!!Hahaha nije kuchinjwa na wenye mali
NDIYO!!Mama yako nae ni mwanamke unajua..!
Usijitetee kwa ilo.. Punguza dharau kununua nguo vyakula n. K ni jukumu lako... Ila kushukuru pia kuzur kunaongeza ladha ya upendo. Hatusemi muda wote bali jifunze kuwa na hulka iyo.NDIYO!!
SOMA VIZURI MANENO YA MWISHO HAYO
we, unasema nisijitetee!Usijitetee kwa ilo.. Punguza dharau kununua nguo vyakula n. K ni jukumu lako... Ila kushukuru pia kuzur kunaongeza ladha ya upendo. Hatusemi muda wote bali jifunze kuwa na hulka iyo.
Ikiwa siku hizi mkeo hakupi pole kwa kazi, wakati awali alikuwa akifanya hivyo kila unapotoka kazini.
Jiulize yafuatayo.
Je nikimaliza kula huwa namshukuru kwa kupika?
Je akifua nguo zangu huwa namshukuru?
Je nilishawahi kumpongeza kwa malezi ya watoto wetu?
Je nilishawahi kumletea zawadi na nikamwambia "hii ni mahususi kwa kuwa jana ulinipikia ugali mtamu?"
Wanawake wengi hupenda kujifunza kwa waume wao. Kabla haujenda kumshtaki mkeo, kwa mshenga, mzee wa kanisa, padri, shekhe, mchungaji askofu, n.k
Fanya haya niliyokuambia, maana MUNGU anakwenda kuiponya ndoa yako sasa.
Kele uuuuwiiiiiiiiiii.... Mwenzio nina mwaka wa nane.... Ila kwa kua nshajua ukoje aya baki ivoivo na udikteta wako tuuuu...we, unasema nisijitetee!
ungeniona ungeishiwa hadi nguvu ya kugonga keybord yako!
Yote hayo hakuna geni kwangu hata moja, ila wewe bado unafanya interview ili uingie huko, au ndo umeingia unadhani unaweza kuishi maisha hayo!
HAIWEZEKANI!!!
Ha ha ha ha !Kele uuuuwiiiiiiiiiii.... Mwenzio nina mwaka wa nane.... Ila kwa kua nshajua ukoje aya baki ivoivo na udikteta wako tuuuu...
Usingenioa haki ya mama.... Navopenda kubembelezwa mie we usingeniweza. HahahaHa ha ha ha !
kama ungekuwa mchumba wangu?
Dah!Usingenioa haki ya mama.... Navopenda kubembelezwa mie we usingeniweza. Hahaha