Wanaume tubadilike, tenda utendewe!

Wanaume tubadilike, tenda utendewe!

Sasa ikiwa kila nikipikiwa chakula kizuri napaswa kumnunulia zawadi daaah! sasa itakuwa misuse of our family resources? maana nahisi navopikiwa vzr kila siku nitafliska kwa kutoa zawadi kwakweli.
Angalia zur alilosema lifanyie kaz.. Lisilowezekana acha.... Tujifunze kuchukua yaliyo Bora zaid.
 
Kwenye ndoa ukishaanza kujiuliza "hivi kweli ananipenda?" hapo jua ushakosea.. Yapasa ujiuliza "Je ninampenda?" Ndoa ni kutoa sio kupokea!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom