Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

Hakuna kitu kibaya kama kutaabikia mambo ambayo aliyeyaumba yupo!.Inawagharimu wengi sana!
 

Miye nakiri kabisa kwamba ni mimi niliyempigia mama Ngina magoti kutaka kumuoa na hakukubali kirahisi kwa hiyo ni mimi niliyekuwa na mshawasha wa kuoa wa si yeye.....
 
Mo mumooo malafyale hahahahaha

Jina hilo linanikumbusha mbali sana,mwaka 1995 Rungwe Sec School,alikuwepo mwanafunzi wa kike wa Day kwa jina hilo!Kwa kweli nikisikia jina hilo nakumbuka mbaaali mm!
Filomena ole nnyakyusa?
 
Last edited by a moderator:
Jina hilo linanikumbusha mbali sana,mwaka 1995 Rungwe Sec School,alikuwepo mwanafunzi wa kike wa Day kwa jina hilo!Kwa kweli nikisikia jina hilo nakumbuka mbaaali mm!
Filomena ole nnyakyusa?

Hapana malafyale nalipenda tu kabila huwa wananifurahisha sanaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hivi nikabila gani wanaongoza kuwataliki wake zao hapa Tanzania?
 

i see your pain in ya heart, umeandika kwa uchungu hiyo sentensi ya mwisho. pole endelea kumwomba Mungu atakupatia unayefanana naye,usijitangulize,mtangulize Mungu.
Dada yangu mmoja alipata mchumba , yule jamaa alikuwa na safari ya kuja dar, dada alupiga goti na kuomba kwa Mungu kwamba kama huyu mchumba ndiye uliyeniletea, naomba nimwagize salamu na kimzigo nyumbani kwa mzazi na ndugu zangu dar akifika akafikisha salamu na mzigo na asipopotea iwe ndiye. kama asipofika, na akirudi na blablah siye.
kweli jamaa alienda dar, kwa mzazi wala hakufika, akarudi na sababu kibaoooo, haukupita wiki dada akagundua jamaa ana muke imetelekeza huko tarakea
 

umivu kweli ninalo,japo linapungua polepole...ahsante,naamini wakati ukifika ntakuwa nae,
 
Miye nakiri kabisa kwamba ni mimi niliyempigia mama Ngina magoti kutaka kumuoa na hakukubali kirahisi kwa hiyo ni mimi niliyekuwa na mshawasha wa kuoa wa si yeye.....

bora yako wewe unakubali lakini wengi humu wanabisha ati sisi ndio watambuzi
 
bora yako wewe unakubali lakini wengi humu wanabisha ati sisi ndio watambuzi

Ngoja nikwambie yaliyonikuta. Baada ya kuachana na niliyempenda niliishia kwa Dada mmoja ili nisiwe mpweke. Huyo Dada sasa, Mara weka picha yangu kwenye profile yako fb, mara badili status, kwetu utaenda lini? Nataka unipe mimba yaaani nilijuta hata kumsemesha. Hapo ujue tuna miezi miwili tuu ya kuwa pamoja. Akisikia kuna mtu anayemfahamu anaolewa ndio itakuwa topic ya wiki nzima. Hivi kuolewa ni kuigana? Kwani tunalazimishana? Nikaamua kumpiga chini
 

ahhhh sasa hata hukumuweka hata auze uze sura wazap jmn...vibayaa hvo...lol
 

ahahahahaaa pole sana kwa yaliyokusibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…