Hata huko wadada kwa wadada hapako salama. Utapata ambaye ana wengine 6 kama wewe. Hapo suluhisho jiridhishe mwenyewe.wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Ukifunguka si ndio umefungulia mbwa utaonekana zezeta amna rangi utaacha ona. Kwa experience yangu tu siku ninayomwambia mpenz wangu jinsi gani nampenda kwa dhati in 24 hours lazma anifanyie jambo la kunikera mno hivyo huwa naamua kukaza tu kimya!@Ashadii sema baadhi ya Wanaume... lol!!! Wengine huwa wanafunguka na kumfahamisha muhusika anapendwa kiasi gani.
Acha akili hio aisee mi mbona ni mwanaume ambae sina hio tabia ila pia na select wanawake wa kuendana na tabia yangu ila still inafikia time unakuta kuna mtu anachat nae kwa siri.nitamjuaje mme bora kwangu coz hakuna mtu anaependa kudanganywa, haya anakwambia nakupenda unamwamini kwa kumuona anakupenda na kukupa mapenzi yote kumbe anamambo ya kichini chini, sasa nitakua mtu wa kutumiwa mpaka lini maana mimi sijaona mwaminifu ananipenda ndio lakini anamahusiano kwingine je nitabadilisha wanaume mpaka lini, bora mwanamke mwenzangu tupeane raha wenyewe tu
Hamna aisee mi nabisha...kwahio mi kuwa muaminifu kunaniondosha katika uanaume?kutedwa tunatedwa kila cku,tunadanganywa kila cku,bt cwez kufikiria huo ujinga hata cku 1!@mtoa mada,hapa umekosea sana.....wanaume wote wanafanana,cha msingi play u a part!
Haeleweki,achana nae utapata mwingine.Period
ikifikia mwanaume anakuonyesha wazi kwamba ana kimada pembeni au anaongea nae hata akiwa nyumbani basi
hapo kuna tatizo, lakini kama mwanamke unabidi upigane kumrudisha mwanaume katika hali yake ya kawaida, wakati
mwengine, usikute mwanamke ndie chanzo! unajifanya busy, humpeti2 humpikii vihanjumati.....
Ukifunguka si ndio umefungulia mbwa utaonekana zezeta amna rangi utaacha ona. Kwa experience yangu tu siku ninayomwambia mpenz wangu jinsi gani nampenda kwa dhati in 24 hours lazma anifanyie jambo la kunikera mno hivyo huwa naamua kukaza tu kimya!
Kwa promo hii lazima anaseAcha akili hio aisee mi mbona ni mwanaume ambae sina hio tabia ila pia na select wanawake wa kuendana na tabia yangu ila still inafikia time unakuta kuna mtu anachat nae kwa siri.
Inshort wanaume tulivu tupo, nachukia flirting around with other girls na usaliti kama ambavyo nachukia dhambi ila pia nikipenda huwa napenda sana kiasi kwamba nilienae ndio the best hata aje malaika pembeni.
Nauza kitabu cha jinsi ya kutongozana girls to girlsumekariri kumbeee sio lazima vidole wewe wala kuingiziana vtu tehe tehe haha haha hha
Hahahahah sio promo bobu, shit is 4 real!Kwa promo hii lazima anase
Kwa mtazamo wangu naona wewe ni selfish. Ulishajitathmini mapungufu yako?, hujawahi mkosea mpenzi wako?wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane