Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,264
- Thread starter
- #101
Uporoto01, ni kweli yanakuwepo maongezi baada ya date....ila bado nafikiri msichana aliyekomaa zaidi hahitaji kupata approval ya rafiki. Unaweza ukaenda na rafiki kwenye date yako..then akakushauri mkaka hafai..kumbe yeye kampenda...ohhh!!! yapo hayo.
About my name...hili jina ninalipenda.... ni jina la mmoja wa mabinti wa Ayubu (kwenye biblia)..likiwa na maana "horn or child of beauty". I just like the name....
My thought exactly!!!!:coffee: