Wanaume sio ATM!!!

Hi michelle hope all is well can i come for mdalasini tea today ? promise to come alone.

ha ha ha ha ha ha........you may come,ila some service won't be provided coz ya sababu zisizoweza kuzuilika.....l.o.l:laugh::laugh:
 
Mmhh Lizzy labda dada ni muoga au mtu wa aibu na hajui ataongea nini na anataka mtu wa kumsaidia kumake a conversation, yaani back-up asije akasema the wrong things.. (ujasiri unatofautiana)

na kutokuwa serious kunachangia.
nakumbuka my first date, kwa kuogopa kuzidiwa, niliweka Masharti ya sehemu ya kukutana. kwanza pawe open space ambapo kila mtu anatuona, hata kama tupo pembeni wawili tunaongea mambo yetu. pili pawe jirani na nyumbani kwetu, yaani baada ya maongezi sihitaji hata mtu wa kunisindikiza kama mambo hayatakuwa mazuri. tuliendelea hivyo kwa muda mrefu, ila nilikuwa naenda peke yangu
 
Mimi nakubaliana na V of R kuwa sio vibaya mwanamke akija na shoga'ke kwenye date ya kwanza ili aweze kusaidia kumthaminisha jamaa aweze kumshauri baadae kama atamfaa baada ya hapo inabidi aje peke yake lakini hili la vocha kila kukicha alafu hapigi inaboa na mwimbaji MR.Paul aliimba kwenye wimbo 'dola kumi kila simu waishia kunibipu wampigia nani' ?

Hapo kwenye red...hivi unaweza tu ukamshauri mtu huyu anafaa kwa kumwona siku moja tuuu na kwa kumwangalia anavyoonekana tuu???? Mimi nafikiri mwenye date ndo anatakiwa kumjua mtu wake zaidi.... na yeye ndo mwenye kufanya uamuzi.
 
ha ha ha ha ha ha........you may come,ila some service won't be provided coz ya sababu zisizoweza kuzuilika.....l.o.l:laugh::laugh:

No worries i come from a very patient family my brother 'fukuziad' a lady for three years before she FINALLY accepted him lol!
 
Hapo kwenye red...hivi unaweza tu ukamshauri mtu huyu anafaa kwa kumwona siku moja tuuu na kwa kumwangalia anavyoonekana tuu???? Mimi nafikiri mwenye date ndo anatakiwa kumjua mtu wake zaidi.... na yeye ndo mwenye kufanya uamuzi.
keren nafahamu nyinyi ladies huwa mnakuwa na postmortem discussion after a date sasa si inakuwa rahisi zaidi rafiki yako akiwepo kwenye hiyo date ya kwanza ili aweze kuchangia mawazo baadae ?

NB: kuna sababu iliyokufanya uchague jina hili la yule msichana wa Ausria aliyetekwa miaka mingi au umelipenda tu ?
 
type hii ndo imejaa hapa mjini.......maskini unahudumia ukijua wa kwako kumbe mpo atm nyingi.....
 
Lizzy thanks for this useful sredi

VOR na The Finest wameongea almost mawazo yangu kabisa

Ila sasa unakuta mtu unajifanya 'kipofu', unafanya yote kulingana na demand zake, lakini omba kwenda tabenako uone kasheshe yake...visingizio kibao...hapo mtu unajua 'hii si rizki' unachapa lapa

Halafu wanakuja baadaye oooh 'tuna nuksi mbona hatuolewi au kupata BF' usawa huu kuna mtu atakubali kuchunika kinamna hiyo kweli?
Wala msikubali kukamatishwa kiivyo!
 
Asante dearest!Mi mzima wa afya...how is you and my shem?

We are good my dear,i hope he does not see see this thread,coz he is my ATM for a very long time.....kila kitu ninunuliwe.....ndo ukichwa wenyewe wa nyumba huo kwangu......will change anyway.....l.o.l:laugh::laugh:
 
keren nafahamu nyinyi ladies huwa mnakuwa na postmortem discussion after a date sasa si inakuwa rahisi zaidi rafiki yako akiwepo kwenye hiyo date ya kwanza ili aweze kuchangia mawazo baadae ?

NB: kuna sababu iliyokufanya uchague jina hili la yule msichana wa Ausria aliyetekwa miaka mingi au umelipenda tu ?

Uporoto01, ni kweli yanakuwepo maongezi baada ya date....ila bado nafikiri msichana aliyekomaa zaidi hahitaji kupata approval ya rafiki. Unaweza ukaenda na rafiki kwenye date yako..then akakushauri mkaka hafai..kumbe yeye kampenda...ohhh!!! yapo hayo.

About my name...hili jina ninalipenda.... ni jina la mmoja wa mabinti wa Ayubu (kwenye biblia)..likiwa na maana "horn or child of beauty". I just like the name....
 
Uporoto01, ni kweli yanakuwepo maongezi baada ya date....ila bado nafikiri msichana aliyekomaa zaidi hahitaji kupata approval ya rafiki. Unaweza ukaenda na rafiki kwenye date yako..then akakushauri mkaka hafai..kumbe yeye kampenda...ohhh!!! yapo hayo.

About my name...hili jina ninalipenda.... ni jina la mmoja wa mabinti wa Ayubu (kwenye biblia)..likiwa na maana "horn or child of beauty". I just like the name....

i like your name too,and have been asking myself about its origins......happy its from the bible.....
 
Hapo kuna ukweli ndani yake. Kama muhusika bado hana uhakika na anahitaji convincing, omba mungu msindikizaji awe upande wako.

Heheheheh hiyo inaweza kumgeuka msindikizwaji!!!
Anaweza kuambiwa sio kwaajili ya wivu au kama mwenzie anataka kujilengesha pale!!!Mwenzie akipotezea yeye anakamata!!!
 
Hi dearest,can you explain tu me this 'uchumba wa muda' thingy in simple english please lol!

Hehheeheh....Uporoto bwana!!!Usijali dearest....a friend of mine is out of town so i'm keeping an eye on her man till she gets back!!!!:coffee:
 
We are good my dear,i hope he does not see see this thread,coz he is my ATM for a very long time.....kila kitu ninunuliwe.....ndo ukichwa wenyewe wa nyumba huo kwangu......will change anyway.....l.o.l:laugh::laugh:

I'm glad dearest!!Heheheheheh!!!Aisee inabidi nikuweke ndani....don't be using shem like that bwana!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom