Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,315
- Thread starter
- #421
Kuna dada mmoja tunafanyanae kazi alisema namshangaa sana fulani anakuja kunitongoza huku kavaa pete ya ndoa na anategemea kabisa nimsikilize,sasa wewe unakuja kuongea na Lizzy na hapo chini umeandika Miss U AD ,think TF think.Mie hapo chini nimewaweka Machinga.
Hahahaha Fynest nadhani ujumbe umekufikia bila chenga!Asante dearest!