Wanaume punguzeni kulalamika


Mkono mtupu haulabwi na kama wadhani hiyo shughuli ni krahisix2 kukufkisha mshindo x ujifanyie mwenyewe ili usigharamike.Eeeebooooo?
 
Mkuu kubali ukweli zama hizi, mizinga imekua zaidi ya maradufu

Ukifanya mchezo unakamuliwa hadi unabaki mabega ndio unaachiwa mtupu
 

aisee nimekupenda buree
 
Nina bahati sijapigwa mzinga kitambo sana.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Siku ya pili 2 mtu anakwambia
"jaman nataka kusuka halafu hela sina jamani"
nikamuuliza sh ngapi?
30 t
lol hata salam hamna wala kunishawi no
aaa HAKATWI MTU HAPA
 
Nina bahati sijapigwa mzinga kitambo sana.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

Ukiona hivyo huyo uliyenaye anakusoma, kuna siku atakutolea uvivu, au wewe unajisifia kuna wanaojazia mapengo. Karaga bao?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…