Wanaume, please, please msije mkafanya kosa hili

Wanaume, please, please msije mkafanya kosa hili

Uki
Ulikuwa unajifelisha, maana kumwambia mwanamke udhaifu wako wao hutafsiri kama unatafta kuonewa huruma. Hivyo ataanza kukudharau on the spot that you are less of a man compared na wenzio..Wewe ni laini laini ndio mwanzo wa kuanza kukupelekesha, unatakiwa ukaze hata kama unajua unazingua ila kaza mwanamke atatulia tu.

Mie inafikiaga stage demu kashakufumania na meseji unamkataa..Mie pale sijapiga bby. Anashuka na kukubembeleza niambie ukweli ntakusamehe,,, don't fall for that lie...Unakaza mwanzo mwisho mie kesi za hivyo nashindaga tu sababu nakuwa bold. Wanawake tumeumbiwa sisi tuwatawale chochote utachomwambia as long as upo serious atakuelewa tu.

IMG_9003.jpg
 
Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu.

Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.

Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako
Dah...pole sana bro...kwani ulilewa? 🤣 🤣🤭
 
Uko sahihi,..ndio maana wazee wetu ndoa zilidumu..kila kitu kiwe na mipaka.

Mimi tangu nimezaliwa mpaka nimekuwa MTU mzima sikuwahi muona mshua akienda chooni.never.

Sasa wa kizazi chetu hatuoni haya kabisa kuzunguka na kopo la chooni mbele ya watoto-nalo hili ni tatizo.

Ukitaka watu wanaokuzunguka wakueheshimu ni lazima baadhi ya mambo yako binafsi uyawekee mipaka na usiri.

Mzee wako alikuwa anakunya vichakani huko utamwonaje, acha kumwona.... siku hizi choo kipo sebleni hivyo utaona anavyoingia na kutoka.

Yes! Hoja yako ya mipaka ina mashiko, ila mfano wako ni mgumu sana.
 
Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu.

Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.

Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako
Si dhani kama, kusudu la Mungu kwa mtu mume ni kuangaika maisha yake yote kwaajili ya kulinda,kumlinda mwanamke awe vile anavyotaka yeye.
Bali kama mwanaume, unatakiwa kuomba Mungu akupe Mtu sahihi kwako. Na akuongoze kutembea katika njia zake na kuyafanya mapenzi yake yalio ndani yako. Hapo ndipo furaha ya kweli ilipo kwa kila mwana wa Adam.. Usisahau kaka. vitabu vinatuhasa kuishi nao kwa Akili na wala si kwa Mapenzi
 
Dah...pole sana bro...kwani ulilewa? 🤣 🤣🤭
Dogo analia, anasimulia eti baba yake alikuwa analelewa na mama yake, akamwambia demu wake, demu kasambaza umbea mtaani watu wote wanajua na maneno yamewafikia wazazi wake
 
Mzee wako alikuwa anakunya vichakani huko utamwonaje, acha kumwona.... siku hizi choo kipo sebleni hivyo utaona anavyoingia na kutoka.

Yes! Hoja yako ya mipaka ina mashiko, ila mfano wako ni mgumu sana.
umejiropokea tu-unafikiri wazazi wako walivyokuwa na maisha ya hovyo basi kila mtu wazazi wake ni kapuku kama wako,

stupid you!
 
Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu.

Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.

Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako


Labda wazazi wawe wahalifu, vinginevyo sioni shida.
 
Vipi kwa sisi ambao tayari tushatoa siri zote??
 
umejiropokea tu-unafikiri wazazi wako walivyokuwa na maisha ya hovyo basi kila mtu wazazi wake ni kapuku kama wako,

stupid you!

Sasa we ulitaka umuone mzee wako akikata gogo ili iweje, toto pumbavu hovyo kabisa hili... mzee choo hana anajisaidia machakani utamwona vipi!

Ficha ujinga wako, unamdhalilisha mzazi wako bwege wewe.
 
Uki
Ulikuwa unajifelisha, maana kumwambia mwanamke udhaifu wako wao hutafsiri kama unatafta kuonewa huruma. Hivyo ataanza kukudharau on the spot that you are less of a man compared na wenzio..Wewe ni laini laini ndio mwanzo wa kuanza kukupelekesha, unatakiwa ukaze hata kama unajua unazingua ila kaza mwanamke atatulia tu.

Mie inafikiaga stage demu kashakufumania na meseji unamkataa..Mie pale sijapiga bby. Anashuka na kukubembeleza niambie ukweli ntakusamehe,,, don't fall for that lie...Unakaza mwanzo mwisho mie kesi za hivyo nashindaga tu 😂😂😂 sababu nakuwa bold. Wanawake tumeumbiwa sisi tuwatawale chochote utachomwambia as long as upo serious atakuelewa tu.
Miss Natafuta usinipande kichwani
 
Enyi wanaume, haijalishi unapenda kiasi gani na huyo mwanamke, awe demu wako, au girlfriend wako, au mchumba wako na hata akiwa mkeo, kamwe usije kumwambia Siri za baba yako na mama yako, hasa zikiwa mbaya, yaani mapungufu.

Kuna siku moja atakuja kukusema vibaya wewe, ama kwa marafiki zake, au kwa nduguze, au mtandaoni kuhusu madhaifu ya wazazi wako. Wanawake kwao wanachukulia Siri hasi, Kama silaha ya maangamizi kukuumiza wewe mkiwa na migogoro.

Usiamini kwamba unapendwa, angalia pia na pochi lako, ukiona pochi lako linaanza kupungua, ongeza upendo kwa mkeo, mpakie na vumbi la Congo kumdatisha, tumia akili ya ziada, lakini kamwe usimpe nafasi ya kuwajua kwa undani wazazi wako
Exactly exactly exactly
 
Back
Top Bottom