Tena unaongea zote bila speed gavana unachochojoa yoteTatizo ukishanogewa na penzi unajikuta tu ushaongea...
Bwana wee utaitwa bby mpaka basi. Kosa hela ata hataki kabisa mjuane.Ndio maana Mimi bwana bujibuji sijawai kumwamini mwanamke. Mwanamke anapenda pesa tu. Waleti ikituna bby zinakuwa nyingi kweli.
Hawasikii wala hawaelewi, sijui baada ya kutahiriwa magovi yamerudi tena?
We must be miracles to themKumwambia mwanamke madhaifi yako ni njia nyepesi ya kuelekea kufeli. A women has to keep wondering about you each and everyday.
Ajiulize tu we ni mtu aina gani maana hakusomi somi.
Lini?Tutalifanyia kazi
Ulisikia wapi, wewe ungefanyajeHata mwanamke pia ibebe familia yako kifuani..
kuna couple imevunjika kisa bidada kamsimulia mwanaume ushirikina wa bibi yake..
Ni Kati ya tsh 5000 - 10000. Kwa kichupa kile kidogoWewe ni zuzumagic? Vumbi la Congo Bei gani? Hela ya shopping Bei gani?
Umeona ehhh, haya, shopping Sasa yerewiiiiiiNi Kati ya tsh 5000 - 10000. Kwa kichupa kile kidogo
Sio siri za wazazi wako tu. Hata zakwako zote zisizofaa hapaswi kuzijua.
Kumwambia mwanamke madhaifi yako ni njia nyepesi ya kuelekea kufeli. A women has to keep wondering about you each and everyday.
Ajiulize tu we ni mtu aina gani maana hakusomi somi.
Ulikuwa unajifelisha, maana kumwambia mwanamke udhaifu wako wao hutafsiri kama unatafta kuonewa huruma. Hivyo ataanza kukudharau on the spot that you are less of a man compared na wenzio..Wewe ni laini laini ndio mwanzo wa kuanza kukupelekesha, unatakiwa ukaze hata kama unajua unazingua ila kaza mwanamke atatulia tu.Kuna kipindi nilikuwa najieleza sana madhaifu ili kutojipaisha na kutafuta justification siku nikizingua, haikuwahi kunisaidia kitu.
Siku hizi bwana bwana!!