Mwanaume kila kitu ufanyacho jiweke wewe kwanza!!!

Mwanaume kila kitu ufanyacho jiweke wewe kwanza!!!

Miguel Felix Gallardo

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
2,460
Reaction score
4,509
Guys there is no any excuse linapokuja swala la kujipendelea a k.a kujijali.Hakuna sababu yoyote ile ya kukufanya ushindwe kuenjoy maisha.Sio mwanamke sio watoto wako wa kuwazaa mwenyewe.

Be selfish at your best.Acheni kitia huruma kipumbavu.Tafuta hela ila usiache kujishukuru mwenyewe kwa kile unachokipenda.

Watu wengine lazima watambue jasho lako ni lako.Wao watafuata baada ya wewe kuenjoy kwanza.

📌🔨Maisha ndiyo haya haya acheni kulialia kwa ujinga wenu wenyewe.Take it or leave it.Gademit!!!!

Mwanaume unatakiwa ujipende,ujiendeleze kielimu,tunza afya yako,vaa vizuri,jifunze stadi mbalimbali.Kuwa bora siku hadi siku.

Uwekezaji bora huanza na wewe Hakuna ueekezaji sijui kwa mtoto au mke.Wenzako matahira walijaribu wakala K.O.

"stay single even in a relationship or marriage"
 
Hapa siwezi kuwa mmbinafsi.. kwanza ubinfasi dhambi waweza jikuta motoni bure..
Screenshot_20260902-195103.png
Screenshot_20260902-195128.png
 
Ukishazaa, lile jasho lako sio lako peke yako tena, ni la damu yako. Hiyo tabia ya kutaka ku-enjoy kwanza wewe kabla ya familia yako ni ubinafsi wa kijinga na uoga wa maisha.
 
Ukishazaa, lile jasho lako sio lako peke yako tena, ni la damu yako. Hiyo tabia ya kutaka ku-enjoy kwanza wewe kabla ya familia yako ni ubinafsi wa kijinga na uoga wa maisha.
Hizo misconcept zimekuwa twisted in a way wapumbavu wanakufa kama vibudu.

Endeleeni kuufanya mateka na watumwa na mtakufa huku mnajiona.
 
Guys there is no any excuse linapokuja swala la kujipendelea a k.a kujijali.Hakuna sababu yoyote ile ya kukufanya ushindwe kuenjoy maisha.Sio mwanamke sio watoto wako wa kuwazaa mwenyewe.

Be selfish at your best.Acheni kitia huruma kipumbavu.Tafuta hela ila usiache kujishukuru mwenyewe kwa kile unachokipenda.

Watu wengine lazima watambue jasho lako ni lako.Wao watafuata baada ya wewe kuenjoy kwanza.

📌🔨Maisha ndiyo haya haya acheni kulialia kwa ujinga wenu wenyewe.Take it or leave it.Gademit!!!!

"stay single even in a relationship or marriage"
Mkuu samahani kwanza kabla sijaandika upuuzi hapa una family 👪 nijibu ndo nitoe comment
 
Back
Top Bottom