Wanaume njooni mfunguke.

Wanaume njooni mfunguke.

Tuta Absoluta

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
284
Reaction score
632
Habari za jioni wana MMU. Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Kuna swali hua najiuliza sana ila leo nataka nipate mawazo ya wengi katika hili.
Wanaume tumekua tukiona fedheha sana kukaa kwa shemeji zetu ( alikoolewa dada)

Swali: kwa mliobahatika kukaa kwa shemeji zenu ni kitu gani kilichokua kinakufanya ujione mnyonge/ fedheha kuishi kwa shemeji.

Kwa ambao hamjawahi kuishi kwa shemeji zenu unahisi ni kitu gani kitakufanya ushindwe kuishi hapo.

Hii kitu ipo sana mjini Dar es salaam so nategemea kupata mawazo mengi kutoka kwa wanaume wa Dar.

Nawasilisha.
 
Wanaume wa dar limefukuza watu.

Wa mikoani ngoja tupite kimya kimya
 
Kw
Mkuu inamana wanaume wa dar ndo wanapenda sana kukaa kwa shemeji zao kuliko wa mikoani
Ni kweli mkuu hii kitu imezidi sana Dar.
Am sure population ya dar ukiigawanya kwa makazi ( nyumba) zilizopo utapata swali.
 
Back
Top Bottom