popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 371
Pole sana bila shaka umegombana na Mumeo nakushauri rudi ukamuombe msamaha na sio kumuanika kimaficho Humu Mungu hapendi nenda ukapatane nae pliz. Na uwache kuzungumzia mambo ya ndani hyo ni siri za ndani hata sisi tunagombana na wake zetu na yanaisha mikwaruzo ipo.Maan utakuta mwanaume kagomba n mke wake kitu hakun hata mantiki halafu anavimba Kameza chura sababu wala haina kichwa Wal miguu kama haitoshi baasi status za whatasp zinabasilishwa Ka nguo huyo n mwanaume anaejielewa kweli
Asante