Humu humu wapo wengi sana, cha msingi hapa SI HAKI KUTATHIMINI mtu katika matumizi yake. Angekuwa anasaidiwa mtu katika kazi anazozifanya ziwe ngumu au rahisi ingekuwa halali kumtolea hoja katika matumizi yake! Mwache mtu na matumizi yake kwenye jasho lake! PILIPILI IKO SHAMBA UNAWASHWA NA NINI ??????