Wanaume Nisaidieni


Thank you very much Anold!
 
Kwa wastani asilimia 90 ya wanaume huwa wanataka kuwa namba kubwa ya wanawake yaani akiwa kijiweni anasema nimetembea na wanawake kadhaa

Pili Inasababishwa na nyie wanawake utakuta mwanamme anakuitaji yaani anakupenda kweli kweli lakini unampiga kalenda kwa miezi sita iupendo unaisha anakuwa na hasira hapo inakuja ya kukukomoa kwa kumsumbua ili uone ni jinsi gani ilivyo vibaya kumsumbua mwezio aliye in need na anakuhitaji

tatu ni kwamba katembea na kama watu saba labda yupo mmoja alimpamavituzi kweli kweli labda
wapo wanaopendelea kuona mwanamke anakojoa yaani anapata ejaculate or orgasm na siku akipata mwingine ambaye yeye hapati hiyo kitu yaani hakojoi basi hanampango nae maana ame work hard lakini bado hupati then hapo hafurahii kabisa njia rahisi ni kukucha njia panda.
 

Ukweli ndio huu....

  1. "a woman normally accepts a man with expectation that he will change, but they do not.... and a man normally follows a woman with expectations that she will never change, but they do....." So kuhusu wanaume kubadilika mimi sikubaliani nalo.....! Different things may go wrong in different relations and different times.... they are so many....! Swala la kuplay hard au kukubali haraka hutegemeana kama ni tabia yake kwa kila mtu.... kama ni kwangu tu basi akubali haraka, otherwise siwapendi.....!
  2. Kama kumuacha ni kwa maslahi na usalama wangu huwa siumii kumuacha, badi nitaona kero kunifatafata na kujutia nilivyomgusa, na huenda hata nikajisikia vibaya sana nikumbukapo kuwa nilijulikana....
  3. vyote na hasa isitokee mwanaume mwenzangu akafaidi ninavyoringia juu yako...
 

Duh,its getting even bette!
1.Unajuaje kuwa ni kwako tu kakubali haraka,mi niko Mwakaleli nakuja dar tunakutana utajuaje tabia yangu????
2.Ukijulikana na nani,au unaongelea kama umeoa?
3.Hilo la mwanaume mwenzako kafaidi unajuaje.......in other words,sijaelewa au una maanisha ukimkuta si bikira?
 
Huu niukweli mtupu yaani napenda sana hapo.................... Demu anakubana kama vile mfunga pingu za maisha kila unapo kuwa free kidogo anataka muonane, nusu saa ikipita sms Whyyyyyyyyyyyyy
 
Huu niukweli mtupu yaani napenda sana hapo.................... Demu anakubana kama vile mfunga pingu za maisha kila unapo kuwa free kidogo anataka muonane, nusu saa ikipita sms Whyyyyyyyyyyyyy

Anakupenda jamani? au obsession au tuite infatuation?
 
well in the beginning they are eager to get some satsifaction from you hence (he will be on his best behavior ) and once you give it to them why do they have to be nice when what they wanted is already captured? this is life until he meets something so good he wants to keep being nice or he falls in love and cant help but being nice. The usual mistakes ni kuwa mnadanganywa na gia ya kuolewa. Ukiona mwanaume yoyote mmefahamiana kwa muda mfupi afu anakuja na gia ya kukuoa na kuomba mapenzi ujue huyo anataka tu kuonja. mwanaume wa kweli anaetaka kukuoa utamwelewa kwa matendo yake na kamwe hataomba sex kwani anaogopa utamchukuliaje na itamuuma sana kama utareact vibaya na kumpiga kibuti hivo atavumilia hadi mpate uelekeo.sex itatokea bila nyie kupanga yaani mtajikuta siku mko mahali peke yenu mkashikana na kubusiana mkapeana but hapo ujue huyu bwana hajaomba na umeshaelewa uelekeo wake.tatizo mnaogopa kuwa ukitongozwa usipokubali kumpa sex atakuacha kumbe hamjui jamaa nae ni mwonjaji tu( huwa tunaita style ya kunyonga i mean after sex no more relation whatsoever.
 

Wow,thank you Lokissa!
 
Kinachokimbiza wanaume ni tabia ya utegemezi na omba omba ya wanawake (samahani kina dada kama nitawaudhi) Unapomfukuzia dada huwa kuna malengo aina 2 kutafuta sex au uhusiano wa kudumu mke. Unapomfukuzia anaanza kukuliza mizinga midogo midogo mara vocha, lanchi nk. Ukishampata mara Kodi ya nyumba, furniture anataka amalizie matatizo yake yote kwako nk. ukiona mizinga imezidi ndipo unapoingia mitini. Enzi zile za mwaka 47 kina mama walikuwa na aibu ukitaka kumhonga mpaka mpenzi wa kiume ndiye anayeamua atoe kitu gani tena ukimpa mshikaji anakataa mpaka umlazimishe, siku hizi hakuna mapenzi ya kweli inapendwa pesa hapendwi mtu habari ndiyo hiyo Michelle upo?
 
Michelle tunapenda mwanamke anayejitambua kwamba yeye ni mwanamke na wewe ni mwanaume. Mwanamke asiye mlalamishi saaana, mwenamke msafi, mwanamke anayekuamini, mwanamke akuachie space kidogo japo ukaangalie mpira au kucheck na jamaa zako
 

Nipo Babalao,asante sana! sasa kama mimi nina hela zaidi yake hapo napo ntakuwa nafuata hela?unafikiri kila mwanamke anafuata hela kwa mwanaume???? Kweli kazi tunayo wasichana,samaki mmoja akioza.............................lol:Cry:
 
Pole!

Na watakuwa zaidi ya 100 na utaishi!! acha KABISA UZINIFU
 
Michelle tunapenda mwanamke anayejitambua kwamba yeye ni mwanamke na wewe ni mwanaume. Mwanamke asiye mlalamishi saaana, mwenamke msafi, mwanamke anayekuamini, mwanamke akuachie space kidogo japo ukaangalie mpira au kucheck na jamaa zako

Mbona Elia kuna wanawake wana hayo yote na bado wanakimbiwa tu wanaume wakishalala nao?
 
Michelle Hii ni 2 way ukiwanazo pesa na wewe uwe makini utachunwa na wanaume. Unakumbuka wimbo wa Jide Wanaume kama mabinti?
 
Pole!

Na watakuwa zaidi ya 100 na utaishi!! acha KABISA UZINIFU

Hakuna neno nawe pia njoo nikupe namba.....................LOL
:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:
 
MJI atanisaidia kwenye hili nimesoma mitazamo ya watu humu lakini ukweli ni huu uwe mume/mke au infiii bado mapenzi ya kweli yapo ndani ya moyo wa mtu hata hao wanaosema walioko kwenye ndoa wana mapenzi na wake zao wakati wanacheat ivi wanataka kutueleza nini?

hawa wanandoa wengi nawachukulia kama wanafiki wakubwa sababu ya misingi ya ndoa tunayotakiwa tuishi wengi wanalazimika kuendelea kuwepo ndani ili tu kulinda yale waliyoapa na pengine kwa maslahi ya watoto na yale waliyojenga pamoja,na wanaume wengi wanaongea hayo sababu wanawake wengi Ndio wanabeba mizigo mikubwa kulinda ndoa zisiporomoke

ndio maana wanaume wengi wanatembea vifua mbele kulinda maslahi yao binafsi wanayofaidi ndani ya ndoa huku wakidai wana upendo wa kweli kwa wake zao huku wakienda kujipooza huko nje, kama ndio ivo kwanini nyumba ndogo nyingi zinapewa kipaumbele cha kwanza,na likitokea la kutokea huko wanakimbilia nyumbani sababu wanajua watapokelewa

BADO NINGEPENDA KUJUA UPENDO WA KWELI UNAJUMLISHA VITU GANI KWANI BADO NAAMINI HAKUNA UPENDO TENA MAPENZI YOYOTE NI SUALA LA MUDA KWA ALIYEPO NDANI AU NJE
 
Mi nikiombwa hela ya saluni,vocha huyo mbio na simu sipokei
 
Red: That's the point whre all he fracas lies... mwen and women alike.... I reserve mine!!!:love:
 
Napenda demu anizungushe kiaina. Nihangaike kidogo kumpata. Akinipa mambo fasta sana namimi namuacha fasta vilevile.

Acheni hizo. Mzinzi mzinzi tu hata akikuzungusha. Mie napenda asiyenizungusha, yaani akinikubalia siku hiyo hiyo ndo safi. Mambo ya Wanyalukolo, unamuomba anaanza story za "kaiasima sangazi kwenda nayo Makambako" siyataki. Dawa kuacha uzinzi na wala sio kuzungushana kama vile unampa mwenzio kitu cha maana sana. Kwa nini unipige tarehe kwa ajili ya 'mikojo' tu? Wasichana acheni uzinzi kabla ya ndoa, mnajidhalilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…