Wanaume Nisaidieni


Hayo maneno kwenye nyota si mchezo!

Mapenzi mengi hua hayana uhalisia....hiyo ni moja wapo yakuoneshana ubabe na kutokua na upendo wa dhati.
Hivyo hakuna haja ya kulalamika.
Mapenzi ya kiafrika bana....vioja ni vingi kweli.
Kumbe unagawa ili ugande hapo?
Mgande alie-broken.
 
15,na bado ninaishi........

Wanaume 15 ni wachache mno kuhitimisha kuwa wanaume wote WAGA wanafanya mambo uliyoyaelezea hapo juu. Labda ungetueleza kwa ufupi hao wanaume 15 uliokutana nao walikuwa na profile ya aina gani ili tuweze kutoa maoni kwa kuangalia tabia halisi za wanaume wa aina hiyo.
 
katika hao 15, hujapata tu majibu ya mawsali yako uliyotuuliza hapa?
Kama, hujapata, endelea kuongeza idadi,
utajua tu kwanini huwa tupo hivyo!
ubarikiwe michelle!!!!!!

Ha ha h ah aaaaaaaaaaaaaaa, Sijapata Bacha,mi siko hapa kujaza thread,its a serious business,nataka kujifunza na kuwafunza wengine.
Honestly,ntaongeza tu sema kwa haya niliyojifunza naamini yatanipa umakini na perhaps karibuni ntafika mwisho..............lol

Ubarikiwe pia Bacha,thanks
 
Tatiana,kuna wengine kweli ni donoa donoa lakini yule atakaye mapenzi ya dhati hutegemea kuona mwenzi wake anajitolea vipi kimapenzi zaidi ya anategemea kupata nini ktk mapenzi. ndio maana kuna wanaume wana wapenzi hata sura hawana lakini ukimuuliza imekuwaje umeangukia pale anakujibu nachopata najua mwenyewe. Mwanamke sharti awe ni home of love not the love court.
 

kwenye profile nitaje nini,kazi zao,kabila,level ya elimu,umri???
 

Ni kweli MJ1, uliyosema ni hali ambayo wanaume wengi tuliyonayo,
lakini kumbuka kuwa, wanaume wengi tunapowatongoza,
huwa tumeshajenga taswira ya umbo lako likiwa uchi, na yamkini,
hata taswira ya jinsi utakavyokuwa kitandani tuki do inakuwepo tayari kichwani,
isitoshe, immediately, baada ya kumaliza tendo (hasa baada ya ku- ejaculate),
akili inanituma nisiendelee tena kuku-entertain, kwani nakuwa nimeshakukinai,
sana sana kitakachonifanya niendelee kukuvumilia, ni
either, umeucheza mchezo vizuri, au ni hisani tu kwakuwa sitakuwa nimekutendea haki!!!!
lakini kwa ujumla hamu yetu inaisha pindi tunapomaliza tendo!
Sorry,
nawasilisha tu!!!!!!!!!
 
Siutakataa labda wewe unakuwa umeweka matarajio makubwa pamoja nakuolewa!!

Ila si utakuwa umesema ukweli??? huwezi jua labda na mimi natafuta hit and run..............lol
 

GOD HAVE MERCY,asante Bacha,its good to learn that! ukweli mwingine mgumu kupokea!
 
GOD HAVE MERCY,asante Bacha,its good to learn that! ukweli mwingine mgumu kupokea!

Ukweli ndo huo michelle,
na ni vizuri uupokee kama ulivyo,
ninapokuwa nina mke, kisha nikawa natafuta infi,
sio kwamba nimempenda sana huyo infi kuliko wife,
la hasha, ni katika kuwakilisha uanaume wetu,
na kama nikiendelea na huyo infi katika mahusiano,
basi, either mchezo wake anajua kuucheza vizuri, otherwise nitaondoka kwa spidi kali baada ya kukidhi haja yangu!
wanawake wanoelewa hii falsafa wala huwa hawasumbuki kabisa,
cha msingi atakuwa anatafuta namna ya kuucheza mchezo katika fair play,
ili akuonyeshe kuwa mambo ipo kwake tu!!!!!!!!!!
Pole Michelle!!!!!!!!
 

Asante Bacha,ndo elimu hiyo,ndo ukisikia knowledge is power uelewe.
 
sasa! Siuseme tu!
Wewe ulikua unatakaje kwa wanaume?
Ili usaidiwe kupata jibu lako.
 
eh,sasa kama anakupenda akuzungushe nn?
Hapo sasa unajua hawa wakaka wanatuchukuliaga sisi kama matoi yale ya kujazwa na ufunguo........yaani haturespond had turespondishwe!! Nani kakwambia kuwa mimi nasubiria e uje unambie Mwana nakupenda wakati moyo wangu ushaoza kwako?>........sitakwambia but nitakupa signs ukizielewa the moment you beep ..napokea
 
we dado hujapata wanaume wa kutosha ukifikisha 50 ndio unaweza kujua, ila mimi kama ile puchu siyo tamu fasta nakimbia nyie c mpo wengi kuliko sisi!!
 

Bacha nimekupata but I thought michelle anazungumzia wale ambao wanasearch wenza ..............but thanx kwa angalizo duh.kweli mapenzi kizungumkuti
 
Bacha nimekupata but I thought michelle anazungumzia wale ambao wanasearch wenza ..............but thanx kwa angalizo duh.kweli mapenzi kizungumkuti

Ndo hasa nilikuwa nawazungumzia ila Bacha kaweka hadi ya ndoa wazi,am happy though!Haya mapenzi ni kitu gani?????
 
mmmmhh kibano ..

majibu matamu saa huku ndani ..
sante Michelle.........
 

sasa MJ1,
hapo katika utoaji wa hizo signs,
ndo huwa mnatofautiana,
kuna mwingine anakupa majibu makali mpaka unajuta sijui kwanini ulitia maguu,
Lakini kumbe mwisho wa siku , kama ulikuwa mvumilivu, unakuja gundua kuwa alikuwa amekupenda kitambo tu!
sasa hizo signs ndo nakuwa na wasiwasi nazo!!!!!!!!!
mara zingine haziko realistic!!!!!!!
 

bacha signs ninazozisemea mimi hapa ni zile zenye kuashiria kuwa nami kwako nimefika............yaani tabasamu kwa sana, salamu 24/7, soft touch kama tuko karibu kihivyo ili mradi tu kujinotifaisha kuwa mimi ni binti bacha.......kama u mwelewe utajua tu huyu msichana kanipenda so inakuwa rahisi sana kuchomeka gear...mpenzi wangu alinambia kuna kipindi wanaume nao hushikwa na kigugumizi wakati wa kutongoza !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…