Wanaume Nisaidieni

Wanaume Nisaidieni

Michelle

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
7,631
Reaction score
3,543
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwa wanaume wengi baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwenu baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Michelle samahani sana kabla sijachangia kile nikijuacho hivi haya maneno umeyaandika kwa bahati mbaya (waga) unamaanisha nini
 
Pole dada mi kama dume napendela vyote ulivyovitaja yaani sex,feelings na company kikikosekana kimojawapo kati ya hayo basi naingia chaka.
 
Michelle samahani sana kabla sijachangia kile nikijuacho hivi haya maneno umeyaandika kwa bahati mbaya (waga) unamaanisha nini

Unajua kiswahili changu ni kibovu kweli,but nimezoea hilo neno,nikisema waga namaanisha kama tabia,formality au utaratibu uliojengeka wa kufanya kitu???yani ni jambo nimeliona au kusikia mara nyingi......natumai umeelewa
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwenu baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Daaa wakaka/wanaume tuambieni tu ukweli kuhusu haya.
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwenu baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Hapa naona ume-generalise kwamba wanaume wooooote wako hivyo.

Nikuulize: Michelle umeshakutana na wanaume wangapi wakakufanyia hayo uliyoyataja hapo?
 
3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Acheni uzinzi. Subiri muolewe ndipo mmegwe. Mnahangaikia nini? Mwanaume hana akitafutacho zaidi ya kukutusua na akigundua uchi wako ni wa kawaida kama wengine anajiona mjinga alivyokuwa anahangaika kabla ya kukupata na anakudharau wewe uliyekuwa unamzungusha. Kama utapenda kuendelea kugawa uloda kabla ya ndoa, basi mtu akikuomba usimzungushe, mpe mara moja.
 
Pole dada mi kama dume napendela vyote ulivyovitaja yaani sex,feelings na company kikikosekana kimojawapo kati ya hayo basi naingia chaka.

Unajua baada ya muda gani kwamba kimekosekana,either sex,company or feelings?? Hiyo ina maana kuwa wanaume hulala na wanawake wengine without any feelings?siongelei wale wa kulipia naongelea decent gals wa kawaida tu.........................
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwenu baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????
Hii hutokea zaidi kwa wasichana wale ambao wanajifanya bab mkubwa much know sasa ukisha mpata tu unamtemea mbali.

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??
JIBU NI:SI NI AFADHALI KUFANYA HIVI KULIKO KUENDELEA KUMDANGANYA NA KUMTUMIA?Ni kama dala dala umepanda umekosa siti umeshuka

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?
HATUJUI TUKITAKACHO MAANA KILA TUKIONACHO KWA KILA MSICHANA TUNATAKA,NI TAMAA TU
lkn MNA UHURU WA KUKATAA HATUWALAZIMISHI KUTUKUBALIA TAMAA ZETU

Natumai maswali si mengi sana.
Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwenu baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????
Hii hutokea zaidi kwa wasichana wale ambao wanajifanya bab mkubwa much know sasa ukisha mpata tu unamtemea mbali.

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??
JIBU NI:SI NI AFADHALI KUFANYA HIVI KULIKO KUENDELEA KUMDANGANYA NA KUMTUMIA?Ni kama dala dala umepanda umekosa siti umeshuka

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?
HATUJUI TUKITAKACHO MAANA KILA TUKIONACHO KWA KILA MSICHANA TUNATAKA,NI TAMAA TU
lkn MNA UHURU WA KUKATAA HATUWALAZIMISHI KUTUKUBALIA TAMAA ZETU
 
Kwanza naamini unamaanisha 'wanaume wengi', then nakuja kiivi:

1. B4 sija DO nae(kutokana na alivyo kimuonekano) nakuwa tayari nshajenga picha yangu atakuwaje ktk bed! Hapo napata 'hisia' za kuwa naye, kwamba nampenda au namtamani, hilo ni suala jingine! Nikikuta kama nilivyohisi that's my girl! Akiwa kivingine, what next?

2. Inashauriwa, unapotaka kumuua nyani....! Hatuumiagi ila yataka moyo.

3. Vyote ulivyovitaja afu na mengine kama fashion, show, sifa kitaani, kuprove kama nami ni kidume, n.k!

Nimejibu nikibase kwamba swali la 1-3 ni 'maswali pacha'!
 
Keep in mind kuna tamaa ya kimwili na kukidhi haja za kingono na really love. At first sight, we men are mostly driven na ku-jig jig, feelings or company may follow after sexing.... Kuumia kwa mwanamke inategemea na original intention ya mwanaume/mwanamke katika hayo mahusiano. If it was just to eat and run, company, mwanamke lazima aumie. Mwanamke "moyo kumdondokea mwanamme" binafsi siwezi umia cuz of the original intention of the relationship. Otherwise, the whole thing on relationship and love is complicated.
 
Acheni uzinzi. Subiri muolewe ndipo mmegwe. Mnahangaikia nini? Mwanaume hana akitafutacho zaidi ya kukutusua na akigundua uchi wako ni wa kawaida kama wengine anajiona mjinga alivyokuwa anahangaika kabla ya kukupata na anakudharau wewe uliyekuwa unamzungusha. Kama utapenda kuendelea kugawa uloda kabla ya ndoa, basi mtu akikuomba usimzungushe, mpe mara moja.

ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,thanks for bn honest!
 
Tunapenda kujua kwanini unaringa.,
 
Tunapenda kujua kwanini unaringa.,

Whats kuringa?kuna ubaya gani kama mtu anaringa lakini anakupenda,anakuheshimu,ana mengi tu unayoyataka,why focus kwenye kuringa???kwanini umkomoe mtu pengine ndo alivyo??
 
Hapa naona ume-generalise kwamba wanaume wooooote wako hivyo.

Nikuulize: Michelle umeshakutana na wanaume wangapi wakakufanyia hayo uliyoyataja hapo?

15,na bado ninaishi........
 
Back
Top Bottom