Wanaume ni vitu gani vya kumdatisha mdada ili arudi tena pia atamani kuishi kabisa kwenye geto lako?

lazima adate
 

Ukiwa na gari ghetto ataona ni utopolo tu
kwa kifupi bado utakuwa under 20
 
Hivi Wewe unadhani kwetu Mimi nakosa hela ya Rasta...ya vocha..chips kuku...Sehemu nzuri ya kulala...Tena hata KAZi sifanyi nyingi....Yaaani maisha Swafi kabisa..

Lengo la kuolewa Ni kuanzisha familia yako ..Wewe na mwenzako muwe kitu kimoja..

Lengo la kuolewa Sio kubadili style ya nywele na eti unaenda kubadilisha mboga..
Labda Kama Dada zako unataka waolewe ili waache kusuka yebo...wavae mawigi ya malaki

Kwasababu huyo mwanaume anaweza Seema unyoe nywele...zimamkera.
 
Huyo ni wewe,outlier. Kiasilimia mko wangapi akina nyie?
 
Shida zote hizo za nini?
Kwa nini usioe kabisa utulie nae 24 /7.
Uzinzi ni mzigo.
 
Lamba mkund wake...madem weng wanapenda
 
Hakuna kitu kizuri kama kudate na mwanaume anayejielewa ana geto lake, kabati kitanda sofa, sufuria ndoo za maji jaba, kapeti yani unatamani tu kuhamia

Alafu amepangilia kwa usafi, siyo geto linanuka kaa nyumba ya mbuzi

Basi hata mapenzi yenu yanakuwa yananoga ile mnatembeleana mtu ana feel is a safe place to stay
 
Ghetto langu liko hivo hivo kama unavyotaka. Tatizo hakuna wa kupika na kupasha kitanda joto. Tuyajenge sasa
 
Umesahau Tv ...kwani hampendelei?
 
Mnnnh.

Mandoo ya maji tena?

Nani akachote maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…