Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 498
- 106
Siku hiyo hali ya hewa ilikuwa ni baridi sana...nikiwa nimepanga kukutanana Boyfriend miaka hiyo..
Mara nikapita sehemu mida ya saa kumi nakumbuka miadi yangu kukutana na Zilipendwa yule ilikuwa saa moja
Ghafla namuona my mupenzi kakumbatia binti huku wanakulana denda..
miaka saba iliyopita ...ikawa ndo mwisho wa miadi
*******************************
PM no..labda yule jamaa ninayemzimia only...
weekend njema
Mara nikapita sehemu mida ya saa kumi nakumbuka miadi yangu kukutana na Zilipendwa yule ilikuwa saa moja
Ghafla namuona my mupenzi kakumbatia binti huku wanakulana denda..
miaka saba iliyopita ...ikawa ndo mwisho wa miadi
*******************************
PM no..labda yule jamaa ninayemzimia only...
weekend njema