Ni tukio gani la kunusurika usiloweza kusahau?

Lior

JF-Expert Member
Jul 30, 2018
766
1,957
Harrison Okene alinusurika kwa siku mbili na nusu akiwa amenaswa ndani ya mashua chini ya bahari, mita 30 (~ 100ft) chini ya maji.

Alikuwa mpishi Mnigeria mwenye umri wa miaka 29, akifanya kazi kwenye mashua ya kuvuta kamba ambayo ilikuwa takriban kilomita 32 kutoka pwani ya Nigeria. 2013.

Screenshot_20240326-201457~2.png

Boti ilipinduka kwa sababu ya mawimbi makali na kuzama hadi chini ya bahari, ambako ilitua kichwa chini. Kwa bahati nzuri, kulikuwa na mfuko mdogo wa hewa ukiwa umenaswa katika sehemu ya mbele ya chini ya boti.
Screenshot_20240326-201434~2.png

Fikiria kuwa umekwama peke yako gizani, katika maji ya baridi, na miili ya wafanyakazi wenzako karibu nawe, ukijua ni suala la muda kabla ya hewa kuisha.

"Nilikuwa na njaa lakini zaidi, kiu sana. Maji ya chumvi yalichubua ngozi kutoka kwenye ulimi wangu." "Niliweza kutambua maiti za wafanyakazi wenzangu zilikuwa karibu. Nilisikia harufu. Samaki waliingia na kuanza kula miili hiyo. Niliweza kusikia sautiya kutisha”.
Screenshot_20240326-201408~2.png

Baada ya saa 60, alisikia sauti zinazofanana na sauti za kugonga. Aliona taa ndani ya maji, kisha akaona vivuri vikisogea. Alinyoosha mkono, akamshika mkono mmoja wa wazamiaji.

“Nadhani lazima ilikumbwa na mshtuko sana mzamiaji huyo. Unaogelea ndani kabisa ya bahari katika mashua iliyozama, unajua kila mtu amekufa, unasafiri kwa uangalifu kwenye ajali. Kisha ghafla, mkono wa mwanadamu unanyoosha kutoka mafichoni na kukushika.”

Waokoaji walidhani kwamba kila mtu kwenye mashua alikufa wakati ilipozama. Timu iliyomkuta ilikuwa imekwenda huko kuchukua miili; haikuwa kazi ya uokoaji.


"Ninapokuwa nyumbani wakati mwingine huhisi kama kitanda ninacholalia kinazama. Nafikiri bado niko baharini tena. Ninaruka juu na kupiga kelele."

Alipambana na hofu hiyo, na akasoma na hivi sasa ni mzamiaji aliyeidhinishwa.
Screenshot_20240326-201333~2.png
 
Daaah, Mimi nmenusurika na matukio makuu mawili ambao, Yote nilinusurika kufa live
1. Nilikuwa najitolea Taasisi X mkoa Mara, Manispaa ya Musoma, nakumbuka hili tukio lilinipata nikiw nmetoka kwnye mfungo wa Siku Saba(Kuna muda huw nafunga privent) bas bana
Ili kuwa hivi
Ilikuwa time ya saa mbili usku nimetoka zangu sehemu kunywa uji na chapa(wanyeji wa Msoma mjini hyo sehemu wanaojiuza uji +Bites za maana ni pale karbu na Bank ya NBC kuelekea mtaa wa Iringo.)
Nilipomaliza kunywa uji wa mchele mixer ulezi,
Nkanunua matunda hapo hapo nkafunga kwenye kwenye Toyo(pikpik-hii nilipewa pale kazn Kwa ajili ya Job kurahsha usafr)
Bas bana nmetembea pga mtaa wa makongoro nikashka mataa(karb na hospital ya nyasho(mtaa wa nyasho)
Mataa kw muda huo yalikuwa hayaruhusu upande wetu kupta nakazui kusbr kuruhusu mbele yangu kulikuwa na gari dogo
Bas mataa hayo yakaruhu, Gari dogo mbele yangu, mwendo huoo, gari dogo tunaenda nalo lenyewe mbele mm nyuma chapa mwendo, Sasa. Ikatokea Ile gari inapnda kulia mm nlitaka kuover take na hakuonesha Indicator za upande huo wa kukatiza(kushoto) mm nikaingia kuovertake muda ule ule akapnda daah nigonga kw nyuma, kilichotekea nlipga sarakasi nne angani kama jetree, Ile ya Tano npo chni nmechuchumaaa,
Mkono wa kulia umeshika goti la kushoto mkono wa kushoto umeshika Kingo za road znazotengenezwa Kwa kutumia tofali,
Mara naskia watu wanasema amekufa uyo,, wakaja wanasema lala umekufa mmh akili ikazunguka chaap mtu anaekufa anaskia kelele Tena
Nlijbu mbna mm sjafa jaman 😂😂😂🤭🤭,
Mungu alisave uhai wangu nilipoteza vitambulisho kw lile tukio vlikuw kwnye walet na kadi ya Bank.
Mengne yalioendelea bas ila hlo tukio huwag nakukumbka nasema bila Mungu nisngekuepo,
Eneo hlo la Ajari n Baruti(Kuna sehemu ukitoka Musoma Bus Kuna mashine za kukoboa Mpunga hlo eneo huwa linaua watu Kwa ajali ila mm nilipona hyo sku. 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Harrison Okene alinusurika kwa siku mbili na nusu akiwa amenaswa ndani ya mashua chini ya bahari, mita 30 (~ 100ft) chini ya maji. Alikuwa mpishi Mnigeria mwenye umri wa miaka 29, akifanya kazi kwenye mashua ya kuvuta pumzi ambayo ilikuwa takriban kilomita 32 kutoka pwani ya Nigeria. 2013.
View attachment 2945380
Boti ilipinduka kwa sababu ya mawimbi makali na kuzama hadi chini ya bahari, ambako ilitua kichwa chini. Kwa bahati nzuri, kulikuwa na mfuko mdogo wa hewa ukiwa umenaswa katika sehemu ya mbele ya chini ya boti.
View attachment 2945381
Fikiria kuwa umekwama peke yako gizani, katika maji ya baridi, na miili ya wafanyakazi wenzako karibu nawe, ukijua ni suala la muda kabla ya hewa kuisha.

"Nilikuwa na njaa lakini zaidi, kiu sana. Maji ya chumvi yalichubua ngozi kutoka kwenye ulimi wangu." "Niliweza kutambua maiti za wafanyakazi wenzangu zilikuwa karibu. Nilisikia harufu. Samaki waliingia na kuanza kula miili hiyo. Niliweza kusikia sautiya kutisha”.
View attachment 2945382
Baada ya saa 60, alisikia sauti zinazofanana na sauti za kugonga. Aliona taa ndani ya maji, kisha akaona vivuri zikisogea. Alinyoosha mkono, akamshika mkono mmoja wa wazamiaji.

“Nadhani lazima ilikumbwa na mshtuko sana mzamiaji huyo. Unaogelea ndani kabisa ya bahari katika mashua iliyozama, unajua kila mtu amekufa, unasafiri kwa uangalifu kwenye ajali. Kisha ghafla, mkono wa mwanadamu unanyoosha kutoka mafichoni na kukushika.”

Waokoaji walidhani kwamba kila mtu kwenye mashua alikufa wakati ilipozama. Timu iliyomkuta ilikuwa imekwenda huko kuchukua miili; haikuwa kazi ya uokoaji.


"Ninapokuwa nyumbani wakati mwingine huhisi kama kitanda ninacholalia kinazama. Nafikiri bado niko baharini tena. Ninaruka juu na kupiga kelele."

Alipambana na hofu hiyo, na akasoma na hivi sasa ni mzamiaji aliyeidhinishwa.
View attachment 2945383
 
Nimetoka kuoga bafuni muda si mrefu ghafla nikapata hisia za kuzama kwenye maji baharini.

Nikapata hisia kama mtu amekwama chini ya bahari na ubaridi mkali, kutokana na hayo mawazo ikabidi nioge chapu chapu nitoke bafuni kwa hofu

Sasa naingia jamii forum nakutana na hii mada ambayo nimetoka kuiwaza muda si mrefu.
 
Daaah, Mimi nmenusurika na matukio makuu mawili ambao, Yote nilinusurika kufa live
1. Nilikuwa najitolea Taasisi X mkoa Mara, Manispaa ya Musoma, nakumbuka hili tukio lilinipata nikiw nmetoka kwnye mfungo wa Siku Saba(Kuna muda huw nafunga privent) bas bana
Ili kuwa hivi
Ilikuwa time ya saa mbili usku nimetoka zangu sehemu kunywa uji na chapa(wanyeji wa Msoma mjini hyo sehemu wanaojiuza uji +Bites za maana ni pale karbu na Bank ya NBC kuelekea mtaa wa Iringo.)
Nilipomaliza kunywa uji wa mchele mixer ulezi,
Nkanunua matunda hapo hapo nkafunga kwenye kwenye Toyo(pikpik-hii nilipewa pale kazn Kwa ajili ya Job kurahsha usafr)
Bas bana nmetembea pga mtaa wa makongoro nikashka mataa(karb na hospital ya nyasho(mtaa wa nyasho)
Mataa kw muda huo yalikuwa hayaruhusu upande wetu kupta nakazui kusbr kuruhusu mbele yangu kulikuwa na gari dogo
Bas mataa hayo yakaruhu, Gari dogo mbele yangu, mwendo huoo, gari dogo tunaenda nalo lenyewe mbele mm nyuma chapa mwendo, Sasa. Ikatokea Ile gari inapnda kulia mm nlitaka kuover take na hakuonesha Indicator za upande huo wa kukatiza(kushoto) mm nikaingia kuovertake muda ule ule akapnda daah nigonga kw nyuma, kilichotekea nlipga sarakasi nne angani kama jetree, Ile ya Tano npo chni nmechuchumaaa,
Mkono wa kulia umeshika goti la kushoto mkono wa kushoto umeshika Kingo za road znazotengenezwa Kwa kutumia tofali,
Mara naskia watu wanasema amekufa uyo,, wakaja wanasema lala umekufa mmh akili ikazunguka chaap mtu anaekufa anaskia kelele Tena
Nlijbu mbna mm sjafa jaman 😂😂😂🤭🤭,
Mungu alisave uhai wangu nilipoteza vitambulisho kw lile tukio vlikuw kwnye walet na kadi ya Bank.
Mengne yalioendelea bas ila hlo tukio huwag nakukumbka nasema bila Mungu nisngekuepo,
Eneo hlo la Ajari n Baruti(Kuna sehemu ukitoka Musoma Bus Kuna mashine za kukoboa Mpunga hlo eneo huwa linaua watu Kwa ajali ila mm nilipona hyo sku. 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Pole sana mkuu.
Hao jamaa hawakuwa na nia njema, yaani wanakuona kabisa bado wanasema ulale umeshakufa😅😅
 
Nimetoka kuoga bafuni muda si mrefu ghafla nikapata hisia za kuzama kwenye maji baharini.

Nikapata hisia kama mtu amekwama chini ya bahari na ubaridi mkali, kutokana na hayo mawazo ikabidi nioge chapu chapu nitoke bafuni kwa hofu

Sasa naingia jamii forum nakutana na hii mada ambayo nimetoka kuiwaza muda si mrefu.
Duh, what a coincidence.
 
Usipende kukaa maeneo ya Banks, Petrol.Stations, Supermarkets na sehemu zinazofanana na hizo kwa maana ya mzunguko wa pesa, nimejifunza

Wajuba walivamia Petrol Station zikatembea shaba za kutosha rafiki tuliyekua nae wakampasua ubongo, mimi nilinusurishwa na stairs, dah siwezi kusahau
Pole sana mkuu. Ni kweli maeneo ya hivyo ni risk sana.
 
Mwaka 2022 wife akahitimu driving school. Nikampa ndinga kuona yaliyomo yamo. Tukiwa spidi gari ikamshinda. Tulijikuta mtaroni ,Gari imejaa moshi, airbags zimefumuka. Ajabu sikupata jeraha hata moja. Wife aliumia kidogo sana.
Poleni sana.
 
2. Hili sasa nalo Babu kubwa kwnye maisha yangu sita kuja nlisahau
Nilifika Mkoa wa Mwanza wilaya X kata X, pale nlikuwa nipo na kaz ya Mkataba
Kwenye mambo ya Maji. Sasa bana nmefika pale nmekaa wiki nmekaa kama miezi mitatu ulipofka kuanza mwezi nne(kipnd Cha kukaa pale) Afya yangu nikaona kama siielewi mara kuumwa, kukonda, baridi hlo kwenye jua Kali yaan unaskia barid Kali hatr,. Nkaenda kucheki hospital ya Government walinipata na magonjwa kama 5 hivi,(Typhoid, Amoeba, malaria, UTI, Vidonda vya tumbo,) nlichmuuliza Dokta n kwmba hayo yote n yangu alijibu ndyo nkapewa. Dawa,
Bas nkaenda Tena hospital ya Private
Hapo nikacheki na HIV majbu yakasema ni -(Negative) ila yote nikiyokutwa nayo kule waliyapata pia
Pale. Skuchukua dawa, ila pale Government waliuza hvi unakunywa pombe nkasema. Hapa maan kwl nilkuwa stumii, basi. Akasema mbona upo na Hali hii ya hatr alimwelewa dokita.
Kwel ilikuwa hatr maaan nlikuwa nkila wali, nyama au maharage nikienda haja kubwa nashusha kama nilivokula
Yaan bila kumeng'enywa yaaan unarudisha kama ulvokula daah nilkaaa na hyo Hali wili mbili nkitembea road upepo unanipeperusha jamani hiii Dunia achan tu
Usku naota nmekufa mara gari ya maiti imenfata naona kabs wanvofungua geti kunibeba kuniweka kwnye gari mbele Kuna ndugu zangu
Daaah, hiki kipndi kilikuwa hatari sana
Hapo nlikuwa na Mama ake mtoto wangu wa kwnza alikuwa kunisalimu alikuta naumwa mwanzo mwanzo
Kuna siku nimshuka kitu choon nkamuita aone alisema mmmh jamn mbna hii hatr jamn usfe mm ndo nitakuwa muuaji jamn mbna utaniachia shida na mtoto mdgo kiasi hki🤭🤭🤭
Bas nilimshrikisha Bi mkubwa akanituma Kansan nkamshrikisha padri wa eneo lile, pia nkaanza na kufatilia Mtumishi wa Mungu Mwamposa kwenye Tv yake ya A rise and shine🙏🏿🙏🏿(Mida ya saa tatu Kuna kipindi cha Ukombozi wa familia)
Nilipata ujasri Sana nlichomwomba Kupitia Yale maombi ni Mungu n, Nguo yangu irudishwe mara moja na mtu alieichukua, mbili,
Naomba nikienda hospital nkipma nkute ugonjwa mmoja tu ama syo nife
Na kweli nkarud hospital nkapma nkakutwa na Typhoid tu nkatumia sindano nkapona

(Ombi la kwnza).Nyuma yaan story hii kulikuwepo Na kupotelewa na nguo yangu niliingia kwnye maombi kwa, (rejea hapo juu) kufatilia Mwamposa Ile nguo ilirudishwa na jiran ambae mwanzo alisema hakuiona na haijui(maan nlimuuliza kma aliiona nguo yangu kwnye kamba-nyumba za kupanga) ko baada ya Ile nguo kupotea ndo maradhi yalianza.

Mungu n Mweza wa yote, kama ujapangiwa kuondoka katika hii dunia huwez ondolewa na Binadamu.
 
2. Hili sasa nalo Babu kubwa kwnye maisha yangu sita kuja nlisahau
Nilifika Mkoa wa Mwanza wilaya X kata X, pale nlikuwa nipo na kaz ya Mkataba
Kwenye mambo ya Maji. Sasa bana nmefika pale nmekaa wiki nmekaa kama miezi mitatu ulipofka kuanza mwezi nne(kipnd Cha kukaa pale) Afya yangu nikaona kama siielewi mara kuumwa, kukonda, baridi hlo kwenye jua Kali yaan unaskia barid Kali hatr,. Nkaenda kucheki hospital ya Government walinipata na magonjwa kama 5 hivi,(Typhoid, Amoeba, malaria, UTI, Vidonda vya tumbo,) nlichmuuliza Dokta n kwmba hayo yote n yangu alijibu ndyo nkapewa. Dawa,
Bas nkaenda Tena hospital ya Private
Hapo nikacheki na HIV majbu yakasema ni -(Negative) ila yote nikiyokutwa nayo kule waliyapata pia
Pale. Skuchukua dawa, ila pale Government waliuza hvi unakunywa pombe nkasema. Hapa maan kwl nilkuwa stumii, basi. Akasema mbona upo na Hali hii ya hatr alimwelewa dokita.
Kwel ilikuwa hatr maaan nlikuwa nkila wali, nyama au maharage nikienda haja kubwa nashusha kama nilivokula
Yaan bila kumeng'enywa yaaan unarudisha kama ulvokula daah nilkaaa na hyo Hali wili mbili nkitembea road upepo unanipeperusha jamani hiii Dunia achan tu
Usku naota nmekufa mara gari ya maiti imenfata naona kabs wanvofungua geti kunibeba kuniweka kwnye gari mbele Kuna ndugu zangu
Daaah, hiki kipndi kilikuwa hatari sana
Hapo nlikuwa na Mama ake mtoto wangu wa kwnza alikuwa kunisalimu alikuta naumwa mwanzo mwanzo
Kuna siku nimshuka kitu choon nkamuita aone alisema mmmh jamn mbna hii hatr jamn usfe mm ndo nitakuwa muuaji jamn mbna utaniachia shida na mtoto mdgo kiasi hki🤭🤭🤭
Bas nilimshrikisha Bi mkubwa akanituma Kansan nkamshrikisha padri wa eneo lile, pia nkaanza na kufatilia Mtumishi wa Mungu Mwamposa kwenye Tv yake ya A rise and shine🙏🏿🙏🏿(Mida ya saa tatu Kuna kipindi cha Ukombozi wa familia)
Nilipata ujasri Sana nlichomwomba Kupitia Yale maombi ni Mungu n, Nguo yangu irudishwe mara moja na mtu alieichukua, mbili,
Naomba nikienda hospital nkipma nkute ugonjwa mmoja tu ama syo nife
Na kweli nkarud hospital nkapma nkakutwa na Typhoid tu nkatumia sindano nkapona

(Ombi la kwnza).Nyuma yaan story hii kulikuwepo Na kupotelewa na nguo yangu niliingia kwnye maombi kwa, (rejea hapo juu) kufatilia Mwamposa Ile nguo ilirudishwa na jiran ambae mwanzo alisema hakuiona na haijui(maan nlimuuliza kma aliiona nguo yangu kwnye kamba-nyumba za kupanga) ko baada ya Ile nguo kupotea ndo maradhi yalianza.

Mungu n Mweza wa yote, kama ujapangiwa kuondoka katika hii dunia huwez ondolewa na Binadamu.
Aisee. Dunia uwanja wa fujo, inabidi 'mungu mtu' aende taratinu.
 
Back
Top Bottom