Wanaume na wanawake straight talk nini kipaumbele chako katika Mapenzi?

Wanaume na wanawake straight talk nini kipaumbele chako katika Mapenzi?

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,614
Reaction score
109,243
Kutokana na sasa hivi ugonjwa wa heart broken kuonekana wazi umekosa chanjo na matibabu yake ni ya magumashi tupu kama Ebola thread hii itasaidia kila jinsia ijue jinsia nyingine priorities zake/zao ni zipi hasa?

Mimi nachokoza tu mjadala kwa wote wanandoa na wasio wanandoa kwamba wanawake wenye ndoa Priorities inaonekana ni hizi ili tusijekuhisi hatupendwi kumbe kosa ni kuwa hatujui vipaumbele vya wenzetu.

1.Mtoto/watoto
2.Mume
3. Kazi

Wanawake wasio na ndoa

1. Pesa
2. Mwanaume
3. Kazi

Nawakaribisha wanawake muoneshe vipaumbele vyenu ili wanaume wajifunze kitu kutoka kwenu itasaidia sana watu kupenda kwa akili na si kama matutusa.

Sasa mimi kwa wanaume nimeona kuna tatizo kidogo na ni ujinga wa hali ya juu.

Tazama vipaumbele vya mwanaume
1.Mwanamke
2. Kazi
3. Mtoto/ watoto

Mimi sasa nashauri wanaume sasa tubadirike na vipaumbele vyetu viwe kama hivi,

1. Mtoto/watoto
2. Kazi
3. Mwanamke

Mimi nimechokoza tu mjadala wadau sasa tutililike.

Pia dada zangu msinishambulie kwamba naiamsha mibuzi yenu itakakata kamba naomba msiwe na hofu, misukule huwa haifufuki.

Cc; BADILI TABIA lara 1 Kongosho The Boss Heaven on Earth Pdidy Mtambuzi and all of you.
 
Last edited by a moderator:
Swali gumu kweli

First things first Ongea unavyojisikia hakuna ugumu wowote, sema kipaumbele chako cha kwanza mpaka cha tano hata mwanaume ndio akiwa kipaumbele namba 5 ndio ukweli wenyewe.
 
Koh! Koh! Koh! Koh!

Mimi kusema kweli akili yangu tofauti na yenu! Im more advanced!

Hivo vaumbele vyako vitatu mi navimaliza kwa SHOKA MOJA MMBUYU CHINI! Kama ulivotaja PESA, MWANAUME , KAZI! ,,!!! Like seriously? Hapo mimi natafuta tu mwanaume mwenye pesa zake ANATATUA. YOTE NA LA MTOTO JUU!

LIFE IS A GAME! Juzi nilikuwa stranded sina pesa, kazi, mtoto, chochote nikawa nasali weeeeeee! Holaaaaa! Nikalalamika kwa Mungu weee kimya! Basi sudenly nikakumbuka i have an ex bf who is connected, rich, dying to get back with me! DANGEROUS TIMES CALL FOR DANGEROUS MEASURES! Nikampigia simu kumlamba makalio, yes! I kissed his a.ss a lot, na kutake blame ya kuachana mwanzo yote, na kuonesha nimekamatika for his ego, baaaaaaas! We are back rolling!
I
I know it is UNETHICAL and IMORAL but a girl gotta eat and pay bills! He will buy me enough time to streighten my shit! For now im covered!

DONT ALWAYS PLAY BY THE RULES! Having said that mie sina kipaumbele chochote, tomorrow will take care of itself! Sitaki kufa na pressure na koteza ujana kwenye stress! Maana ukitaka kitu usipokipata shughuli!
 
Kwa baadhi ya wadada iko hivi Stage one;
Kazi
Mume
Watoto

Stage two sasa baada ya kuolewa kujaaliwa watoto na kuoata promotion kazini
Kazi
Watoto
Mume

Hapo sasa ukikaa na washikaji ni lawama mwanzo mwisho oonh mke wangu hivi na vile mara amekuwa kiburi sijui hanishirikishi mambo mengi mbaya zaid aweza sasa amua kuwa karibu na mama yake na dada zake hao ndio washauri wakuu, sasa hapo ikiwa kidume mambo hayako vizuri ndio yaweza kuwa mbaya zaid!!!!

1. Mtu akiitwa honey ujue kuna kitu hakiko sawa; honey ona hii gari, nzuri eenh!!!!! Akiitikia tu utasikia nimeilipia leo hiyo honey!!!!
2. Au, honey kuna mtu alikuja fasta na dili la kiwanja nikaona nikichukue hapo mtu anaoneshwa ofa na jina la bibie!!!

Kuna mshikaji yeye kwa sasa priority yake ni kifo cha mama mkwe wake, yaani anasema yule bi mkubwa akifa tu basi ndoa yake inaimarka fastaaa!!!
 
Koh! Koh! Koh! Koh!

Mimi kusema kweli akili yangu tofauti na yenu! Im more advanced!

Hivo vaumbele vyako vitatu mi navimaliza kwa SHOKA MOJA MMBUYU CHINI! Kama ulivotaja PESA, MWANAUME , KAZI! ,,!!! Like seriously? Hapo mimi natafuta tu mwanaume mwenye pesa zake ANATATUA. YOTE NA LA MTOTO JUU!

LIFE IS A GAME! Juzi nilikuwa stranded sina pesa, kazi, mtoto, chochote nikawa nasali weeeeeee! Holaaaaa! Nikalalamika kwa Mungu weee kimya! Basi sudenly nikakumbuka i have an ex bf who is connected, rich, dying to get back with me! DANGEROUS TIMES CALL FOR DANGEROUS MEASURES! Nikampigia simu kumlamba makalio, yes! I kissed his a.ss a lot, na kutake blame ya kuachana mwanzo yote, na kuonesha nimekamatika for his ego, baaaaaaas! We are back rolling!
I
I know it is UNETHICAL and IMORAL but a girl gotta eat and pay bills! He will buy me enough time to streighten my shit! For now im covered!

DONT ALWAYS PLAY BY THE RULES! Having said that mie sina kipaumbele chochote, tomorrow will take care of itself! Sitaki kufa na pressure na koteza ujana kwenye stress! Maana ukitaka kitu usipokipata shughuli!

Hivi malengo yako ilikuwa ni kuchangia hii mada au kunipa mtihani wa uvumilivu?

Dada King'ast hebu muweke kitchen party huyu binti.
 
Last edited by a moderator:
Mi kwangu mimi
Kazi
Pesa
Mume then watoto
 
Pesa itaniletea wanawake hapo ntachagua ninayemtaka. Mwanamke ataniletea watoto, ntawalea vizuri Sababu tayari nina hela. Kipaumbele changu ni
1-hela (kazi)
2- mwanamke
3-watoto.
Makuzi ya watoto huathiriwa sana na aina ya mama waliyenaye. Ndiyo maana kipaumbele cha pili ni mwanamke maana kupitia yeye ntapata familia bora.
 
Koh! Koh! Koh! Koh!

Mimi kusema kweli akili yangu tofauti na yenu! Im more advanced!

Hivo vaumbele vyako vitatu mi navimaliza kwa SHOKA MOJA MMBUYU CHINI! Kama ulivotaja PESA, MWANAUME , KAZI! ,,!!! Like seriously? Hapo mimi natafuta tu mwanaume mwenye pesa zake ANATATUA. YOTE NA LA MTOTO JUU!

LIFE IS A GAME! Juzi nilikuwa stranded sina pesa, kazi, mtoto, chochote nikawa nasali weeeeeee! Holaaaaa! Nikalalamika kwa Mungu weee kimya! Basi sudenly nikakumbuka i have an ex bf who is connected, rich, dying to get back with me! DANGEROUS TIMES CALL FOR DANGEROUS MEASURES! Nikampigia simu kumlamba makalio, yes! I kissed his a.ss a lot, na kutake blame ya kuachana mwanzo yote, na kuonesha nimekamatika for his ego, baaaaaaas! We are back rolling!
I
I know it is UNETHICAL and IMORAL but a girl gotta eat and pay bills! He will buy me enough time to streighten my shit! For now im covered!

DONT ALWAYS PLAY BY THE RULES! Having said that mie sina kipaumbele chochote, tomorrow will take care of itself! Sitaki kufa na pressure na koteza ujana kwenye stress! Maana ukitaka kitu usipokipata shughuli!

Aiseee we mwanamke unajiamini mpaka nakupenda...hivi mimi naweza kuongea hivi mbele ya mpenz wangu kweli duuh
 
Kazi then mke. Watoto na Pesa ni matokeo ya kazi na kuwa na mke. Otherwise is accident
 
Kwahiyo watoto ni kipaumbele chako cha mwisho? Samahani je umeshazaa?

Mtoto anapatikana baada ya mume...siwezi kuweka kipaumbele mtoto kabla sijapata wa kunipa huyo mtoto na sina pesa za kumlisha japo napenda sana mtoto kwa kweli...
 
walio weng wa siku hizi wanataka anayejua shughuli kitandan hiyo ndo priority yao ya kwanza
 
Hapa mnazunguka mbuyuuu wewee ila ukweli unajulikana, kila mwanamke anataka ndoa hata kama ni kwenda kuangalia tu mkato wa chumba na kutoka.

Mwanaume anataka familia ili imuwajibishe, na tena kama umegundua wanauame wengi wako committed in their works kwasababu wanajua wanapaswa kutunza familia zao.

Mtanipiga mawe lakini kaeni mchunguze na ndio maana hata pesa ya mwanamke haina mafuta kama pesa ya mwanaume. Tizama Matola waweza kuwa unafanya ofisi moja na mdada, tena kazi moja mkalipwa mshahara mmoja lakin ona mwanaume anaweza kwa mshahara wake akamudu kutunza familia hata 3 lkin mwanadada hata familia moja ama yeye mwenywe ni majanga kisa nini??

Ni kwamba pesa ya mwanamke haikupakwa mafuta ya kiutendaji kama ya mwanaume na ndio maana mwanaume yuko kimatunzo zaidi lkin mwanamke yuko kindoa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Aiseee we mwanamke unajiamini mpaka nakupenda...hivi mimi naweza kuongea hivi mbele ya mpenz wangu kweli duuh
Dont get it twisted THERE IS LOVE AND THERE IS LIFE! Mpenzi angenisaidia nisingekuwa naongea haya! Like i said DESPERATE TIMES CALL FOR DESPERATE MEASURES! NIENDEKEZE MAPENZI NIFE NJAA NA MI BILLS YA HOSPITALI? In the end a girl gotta survive! Mpenzi akikuacha you will get another one, but ukifa it is over! Just focus on staying alive no matter the cost!
WATU WANACHEPUKA KWENYE NDOA ITAKUWA MIE NIMEPASHA KIPORO THUBUTUUUUUU!

Lioness philosoph!
NO MATTER WHAT IS THE ECONOMIC STATE OF THE JUNGLE I WIL NEVER EAT GRASS!
 
Back
Top Bottom