Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,950
Mtumishi wa Bwana umeanza uchambaji lini?🤣🤣🤣Naona midevu ilivyokuchachamaa kama pilipili manga...
Mtumishi wa Bwana umeanza uchambaji lini?🤣🤣🤣Naona midevu ilivyokuchachamaa kama pilipili manga...
Kumekuwa na fashoni fulani la wanaume kuachia midevu kama wehu.
Hii fashion Kuna wenye kipilipili originali Hawa wanakuwa kama wehu.
Yaani Kuna wanaopendeza kama nini maana sura zao zinachangia...
Kuna wengine wamekuwa kama wachafu Fulani hivi yaani wachandevu...
Mbona Yesu alikuwa na midevu na hamsemi?Wanatisha sasa kaka zetu wanakuwa kama wehu ..
Oyá unarukia pisi yng ilê ya kwako umemuachia mjeda kule mkuuEmu njoo ushike shike huu uchebe wangu mtoto uache malalamiko kisa bebi wako hana uchebe
🤣🤣 nataka nioe mitaLa hii pisi nimeielewa na ww niachie tu hii ujizngua nakuchukuLia hatuaOyá unarukia pisi yng ilê ya kwako umemuachia mjeda kule mkuu
Nafurahi kufahamu hili😅Joke mkuu..
Napenda utani
mimi nikinyoaga mtoto wangu hachezi na mimi tena nkirudi hom so naziachagaHalafu wananyoa bonge la para....
🤣🤣🤣🤣Anahisi sio wewemimi nikinyoaga mtoto wangu hachezi na mimi tena nkirudi hom so naziachaga
Kama wanawake wengi wanavyolingia misambwanda Yao, mwenye msambwanda mkubwa anajiona ni Bora sana, kuliko wengine,na sie wanaume tunajivunia sana midevu!Habari,
Husikia na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni fulani la wanaume kuachia midevu kama wehu.
Hii fashion Kuna wenye kipilipili originali Hawa wanakuwa kama wehu.
Yaani Kuna wanaopendeza kama nini maana sura zao zinachangia...
Kuna wengine wamekuwa kama wachafu Fulani hivi yaani wachandevu...
Wanaume mnanini lakini...
Nafikiri itakuwa midevu ya singa Wala sio kipilipiKama wanawake wengi wanavyolingia misambwanda Yao, mwenye msambwanda mkubwa anajiona ni Bora sana, kuliko wengine,na sie wanaume tunajivunia sana midevu!
Kitaa na kwa job, naitwa Rick loss, kwa sababu ya midevu yangu
Ni ya kipilipili, tena, kile cha kanda ya, ziwa.Nafikiri itakuwa midevu ya singa Wala sio kipilipi
Unataka wanaume utakaokua unagombea nao dressing table?
uzi wako bila picha ni utumbo mtupu 🤣 🤣Habari,
Husikia na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni fulani la wanaume kuachia midevu kama wehu.
Hii fashion Kuna wenye kipilipili originali Hawa wanakuwa kama wehu.
Yaani Kuna wanaopendeza kama nini maana sura zao zinachangia...
Kuna wengine wamekuwa kama wachafu Fulani hivi yaani wachandevu...
Wanaume mnanini lakini...