dah! Wanawake tunaweza weza. Ingawa tunaona ndio usawa ila tunazidisha matatizo tu.
hapa tulipo sipo kabisa
tunaelekea pabaya zaidi
tuendage na wapenzi wetu sasa
lakini bahati mbaya binadamu ni kiumbe wa ajabu sana
kwani umeniona nimemind?
haujamind?
all about kukomoana tu
haki sawa
mwaga mboga namwaga ugali
Husy darling siku hizi si wanaume peke yao!hata wanawake wamecharuka mydia usiombe! Akishakamata mshiko anatembeza offer kwa aliyemdondokea ili mradi tu apate wa kumpashisha joto mpaka mwisho wa seminar!
Hali ni mbaya maana siku hizi tunashindana, Mr akihonga nyumba, mke anahonga gari
Mr akihonga gari,mke anatoa offer ya mafuta
Mr akitoa offer ya mafuta, mke anahonga simu ili mradi tu kila mtu anaingia kwenye game!
nimetoka kwenye semina ya kusimamia mtihani mmoja wa kitaifa.. "jina kapuni".. kila mwanamke niliye jaribu ku.. "flirt" naye... alikua ready... so sijui kuna nin hapa. kosa la mwanadada au mkaka..
kwa hiyo kama wewe ni mdada mwenye akili timamu.. kwanin u mind!! why should you bother!! potezea
Wanaume hawafai kabisa hawa. Mnakutana siku moja tu kwenye semina anajifanya amekufa ameoza juu yako. Wizi mtupu.
na wewe why umtongoze?
Hii ni indication kuwa ndoa zetu nyingi haziko settled hivyo watu wanapopata nafasi ya kuhudhuria semina ndo wanapata mda wa kutafuta walau temporary peace of mind, au inakuwa kuwa penzi la nyumbani limebaki mazoea tu kiasi kuwa nothing new ktk mapenzi. Cha kufanya kuweza kunusuru ndoa hizo na probably kujiepusha na maambukizi ya magonjwa ya zinaa(sti) ni kuelezana ukweli na kwa uwazi feeling za wanandoa.nimetoka kwenye semina ya kusimamia mtihani mmoja wa kitaifa.. "jina kapuni".. kila mwanamke niliye jaribu ku.. "flirt" naye... alikua ready... so sijui kuna nin hapa. kosa la mwanadada au mkaka..
Sababu mwanaume huomba penzi. Msipotoa bila ndoa dunia ingekuwa very safe.na wewe why umtongoze?