APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,682
Wanaume tumeumbwa kwa ajabu sana, tumeumbwa na vichwa viwili daah, kichwa cha juu na kichwa cha chini.
Kichwa cha juu kazi yake kutafuta pesa na kukupa mawazo mazuri ya kusaka pesa, ila kichwa cha chini kazi yake ni kutumia pesa alizotafuta kichwa cha juu.
Huwa najiuliza kichwa cha chini, hakinaga adabu kabisa, kinasimama mahali popote bila kujali kinamsimamia nani, tena kinakuwa cha moto mpaka hatari, usishangae watu wanabaka ni kichwa cha chini, kimekuwa moto.
Ili mwanaume ufikie mafanikio, inatakiwa utumie akili ya kichwa cha juu ili kukicontrol kichwa cha chini, ukifeli hapo sahau kuhusu mafanikio. Na kichwa chini kinatamaa sana, yaani kimetoka kufanya bado kikiona pochi manyoya kinasimama ajabu.
Ni hayo tu.
Approximately
Kichwa cha juu kazi yake kutafuta pesa na kukupa mawazo mazuri ya kusaka pesa, ila kichwa cha chini kazi yake ni kutumia pesa alizotafuta kichwa cha juu.
Huwa najiuliza kichwa cha chini, hakinaga adabu kabisa, kinasimama mahali popote bila kujali kinamsimamia nani, tena kinakuwa cha moto mpaka hatari, usishangae watu wanabaka ni kichwa cha chini, kimekuwa moto.
Ili mwanaume ufikie mafanikio, inatakiwa utumie akili ya kichwa cha juu ili kukicontrol kichwa cha chini, ukifeli hapo sahau kuhusu mafanikio. Na kichwa chini kinatamaa sana, yaani kimetoka kufanya bado kikiona pochi manyoya kinasimama ajabu.
Ni hayo tu.
Approximately