hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
Hahahahaha umetendewa nn mana hii si bure,bila shaka mumeo/jamaa ako atakuwa asenane du pole sana unavumilia mengi
Hahaha!!!!!!!!!!! kwenye mipira yao we msapoti tu kinakfi ukijifanya unajua na mwenzio kafungwa tegemea kibao................
Dah nilshafikiria tofauti kidogo....
hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
hili tatizo sanasana liko kwa baadhi ya wanaume!utakuta katoka kuangalia mpira afu amefungwa anakuja amenuna,ana stress zake kibao na humo ndani hapakaliki hasira zote zinaishia kwa wake/wapenzi wao na cha ajabu cku hyo ht mechi mwanamke ananyimwa!cyo vizur jaman
bora mipira ifutwe kama vipi
Muambie ahamie chelsea, chama kubwa! Darajani kumejaa maji hana pa kupita.