Wanaume: Mvua zinanyesha usiku tu?

Wanaume: Mvua zinanyesha usiku tu?

Bado haimake sense kwangu mathee.
Radi ni umeme, kwahiyo radi inaweza kutengeneza path kupitia calling signal ya simu yako na mwili wako kwenda ardhini yaan we ukawa part ya circuit mzee
 
Jitahidi basi kuelewa kwamba haupendwi.
Mpenzi wangu hata kama mvua inanyesha na vyura siwezi kumwambia akate simu.
Kama sikupendi jiandae kupokea lundo la visingizio mpaka utakata tu.
 
Kikubwa ni kuaminiana tu ili kuepusha Shari.
"akifikiriacho mjinga ndicho kitakachomtokea" "ukimuwazia mwenzako mabaya, hayo mabaya yatamkuta"
 
Radi ni umeme, kwahiyo radi inaweza kutengeneza path kupitia calling signal ya simu yako na mwili wako kwenda ardhini yaan we ukawa part ya circuit mzee
Kwa hiyo mtu mzima kila akipigiwa kuna radi ndicho kisingizio! Ndiyo maana siilewi.
 
Kwa wale waliomo katika mapenzi ya mbali(Distance love) wanaume wenu wanatumia kauli gani muwapigiapo simu muda wa usiku?

Hii nimeishuhudia kwa baadhi wa mashost zangu wakilalamika kuwa siku hizi wakiwapgia sim wapenzi wao muda wa usiku wanadai mvua inanyesha,wanasema "Nitafute asubuhi"

Halafu haka kamchezo karibia wanaume wengi wanakatumia

Hivi mvua zinanysha usiku tu?
Acha kutufuatafuata tuache bhana..!
 
Kwa hiyo mtu mzima kila akipigiwa kuna radi ndicho kisingizio! Ndiyo maana siilewi.
Haha ndo maana yake, si unajua tena lazima kuwe na namna ya kujustify the means?
 
Mleta mada subiri kidogo kupost kuna mvua Kali hapa utapost uzi wako asubuhi! Good night
 
"Yanii mfula Jikutimaaaa jikutima syope radi sikukoma mumbulukutu...napilikisyagha nasimo my carpet po ngukukomela nurubhunju honey luv you"...excuse ya Kajunjumele hombres
 
Kwa wale waliomo katika mapenzi ya mbali(Distance love) wanaume wenu wanatumia kauli gani muwapigiapo simu muda wa usiku?

Hii nimeishuhudia kwa baadhi wa mashost zangu wakilalamika kuwa siku hizi wakiwapgia sim wapenzi wao muda wa usiku wanadai mvua inanyesha,wanasema "Nitafute asubuhi"

Halafu haka kamchezo karibia wanaume wengi wanakatumia

Hivi mvua zinanysha usiku tu?
ukishakua na long distance marriage jua hilo tayar ni jipu...... kwann uishi mbali na mwenza?
 
Subiri kdgo bado kuna mvua na radi Baby eb kata simu nitapigwa radi
Haaaaaahaaaaa yaani nimetukana bonge la tusi kimoyomoyo kuandika hp nimeogopa ban tu dah... umenchekesha vbaya mno!
 
Hamchelewi kutupia shida hasa msimu huu
Kwa wale waliomo katika mapenzi ya mbali(Distance love) wanaume wenu wanatumia kauli gani muwapigiapo simu muda wa usiku?

Hii nimeishuhudia kwa baadhi wa mashost zangu wakilalamika kuwa siku hizi wakiwapgia sim wapenzi wao muda wa usiku wanadai mvua inanyesha,wanasema "Nitafute asubuhi"

Halafu haka kamchezo karibia wanaume wengi wanakatumia

Hivi mvua zinanysha usiku tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom