cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,389
Kwa wale waliomo katika mapenzi ya mbali(Distance love) wanaume wenu wanatumia kauli gani muwapigiapo simu muda wa usiku?
Hii nimeishuhudia kwa baadhi wa mashost zangu wakilalamika kuwa siku hizi wakiwapgia sim wapenzi wao muda wa usiku wanadai mvua inanyesha,wanasema "Nitafute asubuhi"
Halafu haka kamchezo karibia wanaume wengi wanakatumia
Hivi mvua zinanysha usiku tu?
Hii nimeishuhudia kwa baadhi wa mashost zangu wakilalamika kuwa siku hizi wakiwapgia sim wapenzi wao muda wa usiku wanadai mvua inanyesha,wanasema "Nitafute asubuhi"
Halafu haka kamchezo karibia wanaume wengi wanakatumia
Hivi mvua zinanysha usiku tu?