Ujue wote hapo kaisha wafukunyua wote wenda wanajua au hawajuani, umebaki wewe mgeni hakika zamu yako yaja







Anza kuangalia watoto wanao zaliwa hapo bila shaka atakuwa ndiye Baba yao!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app






Kama mimi nilikokua nimepanga Morogoro ilifikia hatua hata gas zikikata wanakuja kupashia kwangu mi nilikua na jiko ila nilikua sipiki gharama za usafi na umeme mimi duh
Yeye hajaoa na wewe haujaolewa halafu umepanga nyumba moja. Hapo lazima vyuma viuumane.
Na wewe umeolewa..? au ni miongoni wanaomtegemeaYaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu
, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamaniyeye anatabasamu tu anajibu haina shida
Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu![]()
Wote hao ni halali yakeUkishakuwa mwanaume unaishi kwa plan so lazima atatafuna mmoja kati yenu sio zoba uyo jamaa
Wote hao ni halali yake
Unajua kutunga hadithiYaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu
, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamaniyeye anatabasamu tu anajibu haina shida
Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu![]()
Wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kutumiwa na wanawake ila huwezi kuta mtu kama huyo anapokea the same love.Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu
, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamaniyeye anatabasamu tu anajibu haina shida
Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu![]()
Njugu ndo nini mkuuMtu yoyote anayeleta shobo kwa wanawake mainly hawa single mothers na waliolewa +madanga lazima ataishia kula njugu soon as Possible


NaamMtu yoyote anayeleta shobo kwa wanawake mainly hawa single mothers na waliolewa +madanga lazima ataishia kula njugu soon as Possible