Wanaume Mungu awasaidie

Wanaume Mungu awasaidie

Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
Nashukuru saana kwa huruma yako,,

Unanisaidiaje kwenye hili ndugu yangu nimekwama kwakweliii
 
Ujue wote hapo kaisha wafukunyua wote wenda wanajua au hawajuani, umebaki wewe mgeni hakika zamu yako yaja
 
Sasa nawewe si ni mkazi wa humo, so huwa hulipi na wewe??
 
Yaani tokea nimeamia hapa nilipo, kuna mkaka mmoja bachela, yaani wanawake wote hapa wameolewa, lakini wanamtegemea yeye, sijui waume zao wana majukumu gani. Umeme ukiisha wanamtazama yeye tu, taa za korido na toilet zikiungua ni yeye tu, gharama za usafi na michango ni yeye tu

Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani yeye anatabasamu tu anajibu haina shida

Mnapitia mengi japokuwa hatuioni thamani yenu, Mungu awasaidie katika utafutaji wenu
Umeshampenda mpe papa tu atulize mawazo
 
Kama mimi nilikokua nimepanga Morogoro ilifikia hatua hata gas zikikata wanakuja kupashia kwangu mi nilikua na jiko ila nilikua sipiki gharama za usafi na umeme mimi duh
Mmmmh hapana... Mazoea km haya huwa yanakuja na jinsi mtu unavyojiweka. Ulikaribisha mazoea mwenyewe... Yani mtu atoke na jisufuria lake aje apashie kwako??? Weeeh. Sijipati bado.
 
Hajui kukataa hata, upole umezidi, hadi huruma jamani
emoji24.png
emoji24.png
yeye anatabasamu tu anajibu haina shida
emoji849.png

Kadi yake ya mwaliko unaonekana umeipokea vyema,,,, tujipe Muda..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom