Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,282
kuna watu wanakataaWell said
kuna watu wanakataaWell said
Halooo dunia inazidi kuwa hatari kwa kuishi siku hadi sikuKwa dunia ya leo iliyojaa ujinga wa mabepari kuliko kushangilia ukipata mtoto wa kiume unapaswa umuombe Mungu hasa aje kuwa mwanaume kweli.
Kuna mzee kajihini kupeleka mwanae wa kiume kusoma ubelgiji. Amerudi na dume la kizungu kuwa ndio boyfriend wake. Kitako anakibinua na kuongea kama demu huku kavaa viguo vya kubana. Mzee anabaki kusikitika tu.
Mtihani mkubwa sanaTatizo linaanza ukikubali kuoa...