Naomba niwe reserve wako.Unatesekaje na mmoja?
Kuwa na reserve mamalai
Sio kujiongezea stress?Na wewe tafuta mchepuko ili ukipitize na upunguze stress
Asante mama.. nmemwachia Mungu tuMuombe Mungu aingilie kati
Mnamchosha Mungu, yaani kawapeni maarifa na bado mnataka ahangaike kuwasaidia matatizo ambayo suluhu Mnazo
Basi acha kufuatilia nyendo za mumeo utapata F/A muda si mrefuSio kujiongezea stress?
Akili kichwani mkuuWanakushauri vibaya mama Pretty
SawaInawezekana kabisa..
Kama kuna mtu kakutangulia kupiga cm inaendelea kuita, ukipiga utasikia: "....inatumika" !
Njoo kwangu baby, will never hurt youKwa hiyo nguo zangu sizijui dah😂
Ninyi ni wasaidizi wetu (makatibu mahususi) Kwahiyo Baba Mungu hawezi kupunguza frequency ili hali anajua amewaleta ili mtusaidie kazi na kutupatia furaha ya maishaTunamwomba afanye yale ambayo hatuwezi, yale tunayoweza yote tushafanya na hamuyaoni
Sasa awapunguzie frequency zibaki zetu tuu ~ Na wanawake wote waseme Amina
😍😍😍😍😍😍
Kwa hiyo wote sio wetuHalafu bado una mwita "mwanaume wako". ukiona hivyo ujue wako mwenzako nao wanashangaa kuzikuta nguo zako kwa mwanume wao.nao wanaambiwa za mdada wa kazi
Yote ni ubatili!Ukiichezea penseli vizuri,huwezi kuachwa
AsantePole mama prety..
Ndo maisha hayooo..
Utazoea tu
Sjamfuatilia mkuu..Basi acha kufuatilia nyendo za mumeo utapata F/A muda si mrefu
Tena nyie wa viingereza nyie..🚮😂Njoo kwangu baby, will never hurt you
Ok, ila usichunguze sana Boga au ukichunguza sana Bata hautamla bora uwe kama huoni wala kusikia ili miaka isonge mbele atachoka tu mwanaume akifika zaidi ya 45 anakuwa mtu wa familia zaidi anaacha tamaa na kuanza kula kwa machoSjamfuatilia mkuu..
Bado kipo.. naendelea kutafakariHamna kitu hapo tafakari chukua hatua
Sawa mkuu nashkuruOk, ila usichunguze sana Boga au ukichunguza sana Bata hautamla bora uwe kama huoni wala kusikia ili miaka isonge mbele atachoka tu mwanaume akifika zaidi ya 45 anakuwa mtu wa familia zaidi anaacha tamaa na kuanza kula kwa macho
Aendelee kunidanganya