Wanaume, Mungu anawaona!

Wanaume, Mungu anawaona!

Kama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!

Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!

Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!

Sio mpango wala nini!

Uzi tayari.
Si umwache?
 
Kama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!

Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!😥

Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!😂

Sio mpango wala nini!

Uzi tayari.
Na wewe tafuta mchepuko ili ukipitize na upunguze stress
 
Kama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!

Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!😥

Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!😂

Sio mpango wala nini!

Uzi tayari.

Muombe Mungu aingilie kati
 
Kama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!

Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!😥

Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!😂

Sio mpango wala nini!

Uzi tayari.
Halafu bado una mwita "mwanaume wako". ukiona hivyo ujue wako mwenzako nao wanashangaa kuzikuta nguo zako kwa mwanume wao.nao wanaambiwa za mdada wa kazi
 
Back
Top Bottom