Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,168
- 4,334
- Thread starter
- #41
Kwaheri.
Endelea sasa😂
Kwaheri.
Mke kujua kuwa unachepuka ni muhimu sana tena sana. Ili ajue kabisa akileta ujinga replacement is already there.Sjakataa.. ila ndo uchepuke mpaka nijue jaman..
mimi ni mkweli na mwaminifuKama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!
Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!
Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!
Sio mpango wala nini!
Uzi tayari.
Tena wewe ndo usnambie kituwewe ndo sababu ya yote haya hadi sjapokea sim yako jana
![]()





Tena kwenye utosi hadi FuVu lina vibrate vuvuuuuvikrrrrrrrikrii!Pale kitu kizito kinapotua si kwingine bali kichwani....paaah!!!
mtu saa 12 jion unamtext anakuja kukujibu saa 4 asubuhi, anakuambia kuwa aliwahi kulala kweli jaman. 🤣🤣🤣🤣........Kama kichwa cha thread kinavyosema..
Wanaume Mungu anawaona!!
Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!😥
Haya basi achana na hilo, sku nyingine unampigia sim unaambiwa inatumika baadae mtu anakwambia alikua anaoga!😂
Sio mpango wala nini!
Uzi tayari.
Labda..At least amekudanganya means anahofia kukupoteza.
UpuuziMke kujua kuwa unachepuka ni muhimu sana tena sana. Ili ajue kabisa akileta ujinga replacement is already there.
Hii inatokeaje?Inawezekana kabisa mtu akiwa anaoga, ukampigia simu yake ikawa inatumika.
Endapo utampigia wakati simu yake tayari inaita akipigiwa na mtu mwingine.
Aendelee kunidanganyaUlitaka akwambie ukwel? Je ungeweza kuuhimili?
Hongera sanamimi ni mkweli na mwaminifu
Wallah nyie wanaume 😂😂
Asante sanaPole sana
Ndo wanaume hao😂😂mtu saa 12 jion unamtext anakuja kukujibu saa 4 asubuhi, anakuambia kuwa aliwahi kulala kweli jaman. 🤣🤣🤣🤣........