ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Me ukinikataa mara moja tu siku nyingine hata ukinipa mzigo siwez kudidisha sijui Nina matatizo Gani asee
Ushauri wako ni wa mtu anayeona Wivu, Kwani mtu akioa mwanamke aliyepata shida kumpata si amejipatia anayemtaka. Kama umeshindwa kumpata unayemtaka ndo umeshamkosa acha wenzio wapate matunda ya bidii ZaoAmbaye kakusumbua mda mrefu wakati unamtongoza. Jua hakuna mapenzi hapo Bali kuna kitu kafuata au alikua ana mtu au anakulinganisha na watongozaJi wengine, kama kakuzungusha sana siku akijubali .mle alafu tupa kule
Vumilia huyo in chaguo lako, umempata mwenyewe, vumilia ndoa msalabaNa kwa sie tuliokwisha wao unatushuri nini?
Mapema ndiyo mpango.Hivi wanaume na nyie mlishawahi kuelewa mnataka nini?
Katika hii case ya kutongoza
Mnataka kukubaliwa mapema ama kuzungushwa?
Mnasema maharage ya mbeyaMapema ndiyo mpango.
Acha kupotosha watu wewe.Ambaye kakusumbua mda mrefu wakati unamtongoza. Jua hakuna mapenzi hapo Bali kuna kitu kafuata au alikua ana mtu au anakulinganisha na watongozaJi wengine, kama kakuzungusha sana siku akijubali .mle alafu tupa kule
Mle halafu tupa kule
Good question!Hivi wanaume na nyie mlishawahi kuelewa mnataka nini?
Katika hii case ya kutongoza
Mnataka kukubaliwa mapema ama kuzungushwa?
Naona hapo mwisho umebomoka Ya moyoni...duh haya tukikubali haraka haraka ooh maharage ya mbeya ,.. tukizungusha ooh kula tupa kule haya bana nyie mna nyoka sisi tuna shimo.. lazima utakuja kulala tu shimoni
Nakubaliana n wewe 100%. Maxmum length ya kutongoza ni 6month. Ikizidi hapo potezea fanya yako.Ambaye kakusumbua mda mrefu wakati unamtongoza. Jua hakuna mapenzi hapo Bali kuna kitu kafuata au alikua ana mtu au anakulinganisha na watongozaJi wengine, kama kakuzungusha sana siku akijubali .mle alafu tupa kule
hatutaki kuzungushwa kikatili kwa kublokiwa, kutukanwa, kusonywa, kudharauliwa na mambo kama hayo. tutataka zungushwa ya ''na mimi nakupenda ila nina mtu, siko tayari kwa sasa" na mambo mengine kama hayo.Hivi wanaume na nyie mlishawahi kuelewa mnataka nini?
Katika hii case ya kutongoza
Mnataka kukubaliwa mapema ama kuzungushwa?
Yo very right manMe naona waivyo ndio wakuowa sasa demu unamtongoza siku 1 anakubali mpaka unampata atakuwa kashakuwa cha wote uyo
nisumbuesumbue kdg....Hivi wanaume na nyie mlishawahi kuelewa mnataka nini?
Katika hii case ya kutongoza
Mnataka kukubaliwa mapema ama kuzungushwa?
Exactly that's the good pointDhambi sana... wanawake wengi kudeka ndiyo hulka yao... mwanaume inabidi uwe mvumilivu kama mvuvi wa ngadu vile..
Hujaiona shehena iliyokamatwa tabora mkuu?Tunataka papuchi yako tukeshe nayo
Una matatizo ya kudindisha mkuu!Me ukinikataa mara moja tu siku nyingine hata ukinipa mzigo siwez kudidisha sijui Nina matatizo Gani asee
Dah kweli kabisa kuna demu nilimtongoza miaka mi 3 siku namdinya chumba kizima kilibadilika harufu ikawa mbayaAmbaye kakusumbua mda mrefu wakati unamtongoza. Jua hakuna mapenzi hapo Bali kuna kitu kafuata au alikua ana mtu au anakulinganisha na watongozaJi wengine, kama kakuzungusha sana siku akijubali .mle alafu tupa kule