nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Ambaye kakusumbua mda mrefu wakati unamtongoza. Jua hakuna mapenzi hapo Bali kuna kitu kafuata au alikua ana mtu au anakulinganisha na watongozaJi wengine, kama kakuzungusha sana siku akijubali .mle alafu tupa kule