Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,201
- 3,008
Juzi(Jumapili) nilihisi maumivu kwenye korodani ya kushoto, nikayachukulia poa maana sometimes korodani zinaumaga na kuacha zenyewe.
Sasa toka Jana Hadi leo yaani korodani moja ya kushoto inauma saaana, ninavyo hisi scrotum ndo inaniuma zaidi, yaani utadhani umewekewa kaa la Motoš.
Nimepata homa flani Jana Leo imetulia, nilipojaribu kupiga mechi(sex) mzigo umesimama fresh na nikapiga mechi, Ila ukigusa korodani ya kushoto inauma especially maeneo ya juu.
Korodani ya kushoto imevimba kidogo na kuwa ndefu kidogo kuliko ya kulia, ya kulia haiumi kabisa ipo fresh.
Nilikuwa village kwenye likizo, Kuna ka dispensary sijaenda nikasema niombe ushauri ili nkienda hospital niende hosipitali kubwa.
Wakuu huu ni ugonjwa gani maana toka juzi maumivu hayajakata,,
Sasa toka Jana Hadi leo yaani korodani moja ya kushoto inauma saaana, ninavyo hisi scrotum ndo inaniuma zaidi, yaani utadhani umewekewa kaa la Motoš.
Nimepata homa flani Jana Leo imetulia, nilipojaribu kupiga mechi(sex) mzigo umesimama fresh na nikapiga mechi, Ila ukigusa korodani ya kushoto inauma especially maeneo ya juu.
Korodani ya kushoto imevimba kidogo na kuwa ndefu kidogo kuliko ya kulia, ya kulia haiumi kabisa ipo fresh.
Nilikuwa village kwenye likizo, Kuna ka dispensary sijaenda nikasema niombe ushauri ili nkienda hospital niende hosipitali kubwa.
Wakuu huu ni ugonjwa gani maana toka juzi maumivu hayajakata,,