Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,556
wadada kweli hampendani, huu nao ushauri bestie?
tunapendana na wanaume tu
Hahahaa haaaa
wadada kweli hampendani, huu nao ushauri bestie?
wanataka k
wanataka k
Its very strange hujui wanaume tunataka nini,its no wonder ulikuwa single kwa kipindi kirefu...
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? Kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
Inaonekana jamaa anakupendezesha walau waonekana,pengine zamani ulikua kama kiza!
tunapendana na wanaume tu
Hahahaa haaaa
we kaongo tu;
wanataka k
Nina njaa mwe!!
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
Hahahaa haaaa uwiii
Kuna mtu ane huck acc yangu sio mimi mokoyo