- Thread starter
- #41
Hate what!!!!!!!!!!!
sorry i mean i hate it
Hate what!!!!!!!!!!!
kabila ni relevant si wajua wamwera ka wamakonde kwa bed huwa harina utani....twakamua hasa
...matangazo ya biashara ya sikuizi yako so technical,haya mama wataku pm wahusika....
Mkuu wenzako tunalala wewe unaamka
Kama ni hivyo basi jamaa yako katoa newz kwa friends wake kuwa kapata kifaa cha ukweli hasa kwa bed ndio maana wanataka na wao wajihakikishie wanacho sikia
sorry i mean i hate it
Uwe unamwambia your sweet heart kila unapokuwa approached ili awashughulikie wasikusumbue.
kama vipi tema mate tuwachape
wanaogopa majukumu hao... Sasa kwa vile jukumu kubwa kabeba jamaa, basi wanataka vya bure
Mamy just give them something so that they can remember u in future.Hahahaha u make m laugh sina chunusi,its just men ukiwa single hawaoni thamani yako ila ukiwa na sm1 they want to see wats inside....so funny
"Vinaliwa vilivyofunikwa, vinaachwa vilivyo wazi...."
Naomba leo nitoe la moyoni, love, love, love yuuuuuuuuu!
Thank u, will u marry me?