wanaume mnataka nini?

wanaume mnataka nini?

nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
wanaogopa majukumu hao... Sasa kwa vile jukumu kubwa kabeba jamaa, basi wanataka vya bure
 
samahani kwa kuuliza, je ndio mwanaume wako wa kwanZa
'
non nishakuwa nao kadhaa ila nilistop for almost4 years nikagraduate na kuanza kazi govt,toka nimeanza job this guy was on my nerves 4 a year,nikawauliza mashosti wakasema he is a player i have to stay away from him,mwaka ukaisha wth him insisting then i said may b he is real an i accepted his request last dec
 
...matangazo ya biashara ya sikuizi yako so technical,haya mama wataku pm wahusika....
 
Hongera,nipe basi na mie deal tugange njaa....
no he is not doing anything to me japo anataka ila nimemkataza,he has his job an money am also working so i stopped him,ila ananipa deals za ukweli hadi nadata
 
Wanaume hujawajua tu mamito,
Wanataka kukuharibia hao,
Focus in your relationship hao magumegume usiwape nafasi,
Otherwise utajuta
 
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
....because ulivyokuwa single ulikuwa na chunusi nyingi sana usoni, lakini baada ya kumpata huyo jamaa akakumwagia mwagia "lotion" ngozi sasa inateleza ndio maana hao fisi wanakuja kwa kasi.
 
Halafu kwa nini ukubali boys wakufuate???
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?
 
Kuna baadhi ya wanaume huwa kama mapaka shume!wanaona tu raha kuiba iba wake za watu na ni tabia ya kutojiamini na hivyo hupenda kujipima kukubalika kwao kwa kurubuni wake ama wachumba za watu.Mf mtu wako kama anafanya TRA basi akikurubuni ukakubali naye anajihisi kama keshakuwa bosi wa TRA!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nilipokuwa single hakuna men alihangaika nami,bt now am with smone imekuwa kero wananijia wengi hadi naogopa.? kwa asil mie ni mwera nikiwa na man anadata ,its nature wale single boys walo nikataa wanakuja kwa kasi,bt why.?

Sasa kabila lako linatusaidia nini sisi.
 
non nishakuwa nao kadhaa ila nilistop for almost4 years nikagraduate na kuanza kazi govt,toka nimeanza job this guy was on my nerves 4 a year,nikawauliza mashosti wakasema he is a player i have to stay away from him,mwaka ukaisha wth him insisting then i said may b he is real an i accepted his request last dec
do u really love him au umemkubalia coz hao wengine uliokua unawavizia walikukataali ukaamua kumkubali jamaa ili kuziba maengo!?:A S 13:
 
....because ulivyokuwa single ulikuwa na chunusi nyingi sana usoni, lakini baada ya kumpata huyo jamaa akakumwagia "lotion" ngozi sasa inateleza ndio maana hao fisi wanakuja kwa kasi.

Hahahaha u make m laugh sina chunusi,its just men ukiwa single hawaoni thamani yako ila ukiwa na sm1 they want to see wats inside....so funny
 
Kuna baadhi ya wanaume huwa kama mapaka shume!wanaona tu raha kuiba iba wake za watu na ni tabia ya kutojiamini na hivyo hupenda kujipima kukubalika kwao kwa kurubuni wake ama wachumba za watu.Mf mtu wako kama anafanya TRA basi akikurubuni ukakubali naye anajihisi kama keshakuwa bosi wa TRA!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

no hayuko tra tuko serikalini wote bt nt tra an he has money bt sijawaji waza his money its just love u know
 
do u really love him au umemkubalia coz hao wengine uliokua unawavizia walikukataali ukaamua kumkubali jamaa ili kuziba maengo!?:A S 13:

no i realy love him kuna issue ilitokea kati yetu ka 2weeks ago i cried a lot an thats when i realised i do love him,wajua kwetu wanawake love inakuja slowly ,imaginé imemtake one year to Tel me his love an it was dec last year when i said i love u too....so its real
 
no i realy love him kuna issue ilitokea kati yetu ka 2weeks ago i cried a lot an thats when i realised i do love him,wajua kwetu wanawake love inakuja slowly ,imaginé imemtake one year to Tel me his love an it was dec last year when i said i love u too....so its real
HONGERA SANA, but we ni kabila gani tena?
 
Sorry 2 hear that Latoya.. so they disturb you huh? all you need 2 do is one thing and they'll never bother you again.. wanna know it?
 
Back
Top Bottom