Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,091
- Thread starter
- #161
Kwa vile hutaki kuamini, sawa, fuatilia comment zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilimjua sana tu sema kuna vitu(maslahi) ulifata zaidi ya mapenzi sasa vuna ulichopanda, ni ama kuachana nae au uvumilie hivyo hivyo, staki kuamini kuwa ameanza tabia hiyo ukiwa nae, laa alikuwa nazo ila wewe ukadhani anaweza kubadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app