Wanaume mnatafutaga nini?

Wanaume mnatafutaga nini?

Shetani😮 Unaonaje ukatuwekea picha yake hapa tumuone huenda akawa baharia,

Pole Sana.
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tangu lini MALAYA akafurahia jambo hilo?
You deserved.
Mtu hajakuoa Unachoropoa LICHUPI lako anakuzini kisha unakuja kulalama hapa.
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
usichokijua ni kuwa mwanaume ni kama jogoo tu, huwa ana tetea moja ambalo kila mahali yuko nalo ila likikatiza tetea jingine tu mbele yake basi haachi kulipanda na tetea lake la kudumu halimind maana linaijua nafasi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishajua maana ya mwanaume ndio utaelewa ulilofanya ni utoto.

Sasa unamuacha mwanaume ambaye hujamfumania ana kwa ana na mwanamke.

99% Wanaume wapo hivyo.
1% Hawa ni wagonjwa, Marehemu, Mashoga ndio hawana makando kando
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anao 10 zaidi yako,wewe unao wangapi zaidi yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimwamini sana, hakuwahi onyesha hata chembe ya kunisaliti
Ukishajua maana ya mwanaume ndio utaelewa ulilofanya ni utoto.

Sasa unamuacha mwanaume ambaye hujamfumania ana kwa ana na mwanamke.

99% Wanaume wapo hivyo.
1% Hawa ni wagonjwa, Marehemu, Mashoga ndio hawana makando kando

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunatafuta radha tofauti na ujuzi tofauti
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom