Wanaume mnatafutaga nini?

Wanaume mnatafutaga nini?

Pole sana,njoo kwangu nikutulize
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dunia sio salama pale ambapo unapopata changamoto ,ila ni mahala pazuri ukiwa na amani,furaha na fedha zote kwa pamoja....

Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaofurahia mapenzi mara nyingi ni vipofu na viziwi,ukitaka wako peke yako utateseka sana hapa duniani, shika hilo
 
Usikute aliyeanzisha huu uzi ni msela
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wanatafuta wanawake ambao wanafaa kuitwa WANAWAKE! Kati ya hao kumi atakuja kuoa hapo mmoja au asioe kabisaa mpaka aje aoe wa 35!
 
Na huko unapoenda utaumia zaidi bora urudi ulipotoka.
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo kwangu sifikirii kuwa na mchepuko, sijawahi kuwa na mchepuko sina haja ya kuwa na mchepuko! Utakuwa wewe tu kuongeza mwengine labda mungu apende! Maana mimi ni nani hadi nikatae agizo la bwana..? Akiniletea mwengine nikakataa nitakosa thawabu!,Mimi si mkaidi kama farao!! Bwana na atende..

Usiogope hayo ni kama bwana akitaka ila asipotaka mi sitapinga pia nitakuwa nawe tu milele yote.. ila napinga vikali na kukemea kwa sisi wanaume kuwa na michepuko ambayo kwayo si kutoka kwa baba!!
Hallelujah!
 
Alikukuta bikira? Kama ni hapana, basi wewe na yeye hamna tofauti. Mnatofautiana muda wa kufanya ufuska, wewe ulifanya enzi hizo, yeye anafanya sasa. Pia uenda ni bikira ndiyo anayoitafuta maana hadi kufikisha zaidi ya 10 wakati yuko na wewe siyo mchezo. Kuna wanaume kutoa bikira walao moja maishani mwao ndiyo ndoto zao, hivyo hatulii mpaka aipate!!
 
Back
Top Bottom