Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,636
- 3,045
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba wanafurahia mapenzi kwasababu hawajui mengi kuhusu wenza wao.
Uliambiwa ukimchunguza kuku huwezi kumla.
Umemwacha huyu lakini unayemtaka yupo na wengine muda huu, naye atakuwa labda na wengi kumshinda uliyemwacha.
Pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana waliichezea kwa muda mrefu sana..tehMkuu, umechukua nafasi yako?

Toba.....Kwani kuna Mnyiramba wa kike mwenye mwanaume mmoja?
.
Kama yupo naji expose humu JF ashenzi duu inye
Huyo Mkuu, hana maksihara na nafasi yake
Kwajinsi nafsi inavyo nisuta, ebu tu nisikomenti kwenye huu uziView attachment 1298230
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa asubiri msimu upite.Tangazo lako tumelipokea.
Tumelisikia, tumelielewa, tutalifanyia kazi baada ya huu msimu wa sikukuu kuisha.
Mkuu, huyo mwanaume wako ni kiboko...
Maana hadi mimi kanizidi idadi ya wawili tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
jifunze kujisemea nafsi yako unawezaje kujua wanaume wote wako hivyo?Wote tuko ivyo
Dah...jipange kuwaacha wanaume 52 mwaka 2020...Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app


