Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Tatizo huna chura!
Asa unaumia nini na akati umeamua mwenyewe kuacha
Mtu hupewa kile anachostahili na wala siyo kile anachokitaka...ukiona umepata lonya lonya lako basi ujue ndiye saizi yako! Na mostly mabint decent ndiyo mnaongoza kwa kufanywa option C ilihali wale toka kwa bwana wangalipo tu somewhere around the world!
Kwani nimesema solution ni kuishi na mimi?😀
Kwani nimesema solution ni kuishi na mimi?😀
Tulia january nitafute😀😀
Tatizo huna chura!
Yaani ni hivi, huyu mwanamme niliyemwamini na kumpenda sana, kumbe ni Shetani.
Nimegundua ana wanawake wengine zaidi ya 10 mikoa tofauti, baadhi yao nimeongea nao na kujiridhisha. Ila cha ajabu bado anakataa hawajui.
Mbona kuna watu wanafurahia mapenzi kwa nini mimi nateseka?
Nimeamua kumwacha ila naumia sana jamani.
Ama kweli dunia haina usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nimesema solution ni kuishi na mimi?
Tulia january nitafute![]()
nipe namba yako mrembo hakika sitakuwa na mwingine zaidi yako
Una muda mrefu wa kutafakari ukiona inafaa fanya hivyo.
Dunia haipo fair mamy, ukiwa mwema unapata gumegume au kurubembe, Amini katika kuomba Mungu ya kwamba kuna mtu special kwa ajili yako ambaye ni saizi yako na utaenjoy mapenzi yake, alafu usipende kucomplicate vitu sana utaumia