nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 692
Kheri ya mwaka mpya wadau!
Mara nyingi kila nikipita humu nakutana na thread nyingi zenye kulalamikia wanawake baadhi ya matendo yao mabaya wanayotufanyia wanaume,kwa mfano unakuta mwanaume umewekeza sana vitu vingi kwa mwanamke ikiwemo pesa n.k,lakini baadae unakuja kuachwa utafikiri hakuna jema lolote hujawahi kumfanyia au unakuja kungundua wewe unawekeza pesa nyingi kwake na uko serious nae na wakati huo kumbe kuna sharobaro kana kula mzigo bila kutoa hata mia.
sasa leo nataka nijue humu,je kuna wanaume wenzagu humu ambao wana wanawake wanawaopenda na wanajiamini hata wanaweza kusimama mbele za watu wakasema kwa mfano "kusema kweli mke wangu ananipenda sana nashukuru na najivunia kuwa nae",kama wapo wanume wanaopendwa hivyo na wapenzi wao naomba wa comment humu,watoe hisia za o za kujivunia kupendwa na wapenzi wao na ni kwa namna gani wana liamini hilo,
Binafsi siwaamini wanawake hata kidogo,kusema kweli wanawake wengi siku hizi sio waaminifu ila ikitokea ukapata mwanamke mwenye upendo wa kweli,na kuhakikishia uaminifu na upendo atakao kupa ni kama wa Malaika,sasa wanawake wa aina hiyo anapatikana Mwanamke mmoja kati ya Millioni Moja,sasa leo nataka nijue wanaume waliobahatika kupata hao wanawake ambao ni mmoja kati ya Millioni.
Mara nyingi kila nikipita humu nakutana na thread nyingi zenye kulalamikia wanawake baadhi ya matendo yao mabaya wanayotufanyia wanaume,kwa mfano unakuta mwanaume umewekeza sana vitu vingi kwa mwanamke ikiwemo pesa n.k,lakini baadae unakuja kuachwa utafikiri hakuna jema lolote hujawahi kumfanyia au unakuja kungundua wewe unawekeza pesa nyingi kwake na uko serious nae na wakati huo kumbe kuna sharobaro kana kula mzigo bila kutoa hata mia.
sasa leo nataka nijue humu,je kuna wanaume wenzagu humu ambao wana wanawake wanawaopenda na wanajiamini hata wanaweza kusimama mbele za watu wakasema kwa mfano "kusema kweli mke wangu ananipenda sana nashukuru na najivunia kuwa nae",kama wapo wanume wanaopendwa hivyo na wapenzi wao naomba wa comment humu,watoe hisia za o za kujivunia kupendwa na wapenzi wao na ni kwa namna gani wana liamini hilo,
Binafsi siwaamini wanawake hata kidogo,kusema kweli wanawake wengi siku hizi sio waaminifu ila ikitokea ukapata mwanamke mwenye upendo wa kweli,na kuhakikishia uaminifu na upendo atakao kupa ni kama wa Malaika,sasa wanawake wa aina hiyo anapatikana Mwanamke mmoja kati ya Millioni Moja,sasa leo nataka nijue wanaume waliobahatika kupata hao wanawake ambao ni mmoja kati ya Millioni.