dream100
Member
- Jul 29, 2015
- 27
- 2
Watoto wengi wa mitaani chanzo ni wazazi kugombana au watoto wengine kukataliwa na baba zao, japo siku izi imekuwa kama business juu ya waombao.
Lakini bado najiuliza kichwani pindi mkiwa juu ya penzi zito na mwanaume yoyote mwenye mke au alie single maneno matamu mpeana na ahadi kibao lakini sasa zote zitafutia ukimgusia niko na mimba yako.
Swali langu ni ili kwani mimba si jambo la baraka? Wapo watafutao usiku na mchana lakini awafanikiwi ivyo vijana wa kiume badilikeni juu ya ili ukila muwa lazima ukute fundo ndo maana ukila kavukavu basi usikatae mimba.
Lakini bado najiuliza kichwani pindi mkiwa juu ya penzi zito na mwanaume yoyote mwenye mke au alie single maneno matamu mpeana na ahadi kibao lakini sasa zote zitafutia ukimgusia niko na mimba yako.
Swali langu ni ili kwani mimba si jambo la baraka? Wapo watafutao usiku na mchana lakini awafanikiwi ivyo vijana wa kiume badilikeni juu ya ili ukila muwa lazima ukute fundo ndo maana ukila kavukavu basi usikatae mimba.