Wanaume mnaibiwa wake zenu, hamjui tu

Wanaume mnaibiwa wake zenu, hamjui tu

ukichapiwa shukuru mungu umepata wa kukusaidia, nyumbani mtalala usingizi. Mwanamke akikosa dudu anakuwa msumbufu na mkorofi sana, full stress, sana kama uko bize kusaka mpunga, unarudi umechoka huwezi game si bora uchapiwe tu nyumbani kuwe na amani.

Duh!! Hapa hakuna emotional connection, eti achapwe kuondoa usumbufu..
 
kwa mawazo haya hatutaka tuendelee...mana badala ya kufanya kuwaza vitu vya maana tutawaza jinsi ya kuzuia mke kuchepuka......kama kunguru hafugiki hafugiki tu hata umfanyeje......
 
Hata wanawake wako busy aisee. Hivi kuna mwanamke ana nafasi ya kushiriki karamu daily?
Hivi kuna mwanaume asiye busy maisha haya haswa kwa umri wetu wa kati huu???!!!!

Huyo uliyemsikia ni "ashki majinuni" hawakilishi wanawake wote. . . . . . . .
 
Dah!!..haya sasa majanga..........Mtu ukiwa nyumbani unawaza hela nitaipata wapi ili niihudumie familia yangu...ukiwa sehemu za kazi unawaza sijui wife saa hizi anagegedwa..na nani??....mwisho wa siku mtu unakuta kaanguka ghafla na kapooza mwili mzima....kwa mawazo........
Ha ha ha Mkuu umenichekesha sana
 
Duh!! Hapa hakuna emotional connection, eti achapwe kuondoa usumbufu..

mkuu ili uishi kwenye ndoa miaka mingi na kwa amani, ondoa kabisa kitu inaitwa emotional feeling. Let the lady loose her heart because of you, but you hold your heart tight, dont lose it. emotions ndo chanzo cha matatizo mengi sana maishani, na magonjwa mengi pia. ukiendekeza emotion, magonjwa kama presha na kisukari ujue hayo ni yako, coz you will end up depressed by the end of the day.
 
funny thing wanaume wote humu watalaani mwanakekutoka nje
but huko nje anakutana na nani?
si ni sisi sisi?
 
funny thing wanaume wote humu watalaani mwanakekutoka nje
but huko nje anakutana na nani?
si ni sisi sisi?

Thank you! Great thinker! Halafu wale wachepukaji na wake za watu waoga hao kuchapiwa! teh teh teh! Hawajishangai na Nyumba ndogo zao na mabar maid na mabeki 3!
 
Lisemwalo lipo, ni kweli utakuta mtu j3 adi j2. Job akirudi bisy na laptop unategemea nn hapo . Msipobadilika tutachepuka sana tu.
 
Hata wanawake wako busy aisee. Hivi kuna mwanamke ana nafasi ya kushiriki karamu daily?

Mmmh mi sijui sana upande huo sababu socialization yangu inaniambia huyo mwanamke pia jukumu langu so wewe waweza semea zaid huko my dada!!!!

Wakati nimekaa kwenye kigoda nimefunikwa lile shuka niliambiwa "kazi ya mkeo ona kama haipo we tunza familia yako tu. . . . . . . . . . ."!!!
 
We usitake watu wakatishe PhD zao.

Ila na ninyi hizo pepa zinawapandishia mishahara mnashindwa kutumia hizo "incremental" kuwapa "incentive" wake zenu!!!?? Kamshahara kakipanda angalau unakatumia kumtoa mkeo, unambadilishia mazingira ya kumshughulikia, na yeye aone matunda ya hizo "Publication"
 
Yaani niogope kwenda nje kusoma sababu mke wangu atachapwa kiboko msheli?

Kama ana tabia hiyo hata uwe naye 24/7 atachapwa tu
 
Mwanamke anapaswa kujitambua mwanamke anayejitambua basi ataiheshimu ndoa yake na kutunza heshima ya mumewe. Pia wanaume tunatakiwa kuwa karibu na familia zetu na tupunguze ubusy
 
Tusiogope kufanya maendeleo eti kisa unaogopa kuchapiwa, kuna watu kazi zao wanaingia night kwa hiyo waache kazi kisa mke atachepuka, huyo dada amejitetea kwa upande wake na sabab ambazo sio genuine, yeye angesema maadili ya jamii yameshuka wanawake hawajithamini tena siku hizi mwanamke kuwa na wanaume watatu ni ufahari kwa kisingizio cha haki sawa eti kwakuwa wanaume wanaweza kuwa na wanawake wengi na ndan ya jamii akaonekana yuko poa tu hilo ndo linalosumbua hakuna lingine
 
Back
Top Bottom